The Kop
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 209
- 92
Hivi ni halali kwa mafisadi kuimba wimbo wa "Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote....nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni heri mama weee...." wakati wanaonesha hawana hata chembe ya huruma kwa wananchi wa "inji" hii ambao wengi wanaishi "jehanamu" wakati wao na familia zao ( KIKWETE, LOWASSA, MKAPA, CHENGE, ROSTAM, KARAMAGI, orodha ni ndefu) wanaishi peponi?
Naomba kuweka mezani!
Naomba kuweka mezani!