Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,246
Inakuwaje wewe kijana wa kiume unaishi kwa kakayako, naye ana mke. Wewe uko pale kwa vile umeshindwa shule, sasa unafanya kuungaunga walau upate pa kujishikiza. Kaka yako na mtoto mdogo, akaamua atafute house girl wa kumsaidia mkewe hasa awapo kazini. House girl ni mchapa kazi sana na anamheshimu kakao na mkewe. Wewe kijana wa kiume ambaye umeonewa huruma na kakako, na kuchukua zigo la kukusomesha unaanzisha mahusiano ya kimapenzi ndani ya nyumba ya kakako na house girl.
Kwa vile huwa unaenda shule, wamdanganya mtoto wa watu kuwa unasoma chuo kikuu kumbe unareseat mitihani ya form foru. Halafu kibaya zaidi mnafanya mapenzi humo humo ndani kwa kaka yako, usiku wakati wao wamelala. Kibaya zaidi unamshauri huyo demu aondoke coz hujisikii vizuri kumuona akiwa house girl (mbaya zaidi ze comedy wanapowaitaga ma beki tatu).
House girl anataka kuondoka ghafla tu na hali shemeji yako yupo kazini na hategemei kupata likizo. Jamani, hivi ndugu zetu nyie tuache kuwasaidia?Huko mnakosoma na kuzurura hamkuwaona wadada tena warembo kuliko housegirls?Ni adabu kweli kugeuza nyumba ya kaka yako guest house, sometimes mchana wapo kazini nyie mnafanya starehe zenu?
Kwa wale wote wenye tabia hii nawaomba muache.:hatari:
Kwa vile huwa unaenda shule, wamdanganya mtoto wa watu kuwa unasoma chuo kikuu kumbe unareseat mitihani ya form foru. Halafu kibaya zaidi mnafanya mapenzi humo humo ndani kwa kaka yako, usiku wakati wao wamelala. Kibaya zaidi unamshauri huyo demu aondoke coz hujisikii vizuri kumuona akiwa house girl (mbaya zaidi ze comedy wanapowaitaga ma beki tatu).
House girl anataka kuondoka ghafla tu na hali shemeji yako yupo kazini na hategemei kupata likizo. Jamani, hivi ndugu zetu nyie tuache kuwasaidia?Huko mnakosoma na kuzurura hamkuwaona wadada tena warembo kuliko housegirls?Ni adabu kweli kugeuza nyumba ya kaka yako guest house, sometimes mchana wapo kazini nyie mnafanya starehe zenu?
Kwa wale wote wenye tabia hii nawaomba muache.:hatari: