...hivi ndivyo prof. Tibaijuka atakavyoangushwa 2015 pale Muleba

hivi nini maana ya kupita bila kupingwa...mimi nadhani ni kwa sababu alikuwa chaguo la wana muleba...na kuwa chaguo la wanamuleba maana yake nini...maana yake walikuwa na imani kubwa dhidi yake...hata vyama vya upinzani vilimwamini mama huyu...hii ndio maana yangu hasa ya kusema alichaguliwa na wanamuleba...nadhani tunaweza kuelewana mwana jf mwenzangu...


Hizi pumba.
 
...prof. Anna Tibaijuka amejaribu bila mafanikio kuwaonyesha wananchi wa muleba kwamba anawajali...katika safari zake zote jimboni kule amerudi bila mafanikio...hii ni dalili ya kushindwa kwa tibaijuka kule muleba...mimi nadhani huyu mama amezeeka sasa na anapaswa ajiunge na baraza la wazee la ccm ili awe mshauri wa chama chake...

...Hakika prof. Tibaijuka sasa ni dhahiri kwamba hawezi kurudi tena bungeni...hii ni analysis yangu niliyoifanya...
1. Mara baada tu ya kuchaguliwa kuwa mbunge na kuteuliwa na rais jakaya kikwete kuwa waziri mama huyu alikimbilia pale Kariakoo kwenda kupambana na matajiri wa yale magorofa badala ya kwenda jimboni kwake na kwenda kuwashukuru wananchi kwa kumpa ridhaa...mama huyu anatumia muda wake mwingi kupambana na matahiri wa dar es salaam badala ya kushughulikia matatizo ya wapiga kura wake...

2. Katika kampeni zake mwaka 2010 aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa sababu eti anamarfiki wengi wa nje ambao wangeweza kumsaidia...lakini sivyo ilivyofanyika badala yake mwezi wa kwanza alipoenda na mpango wake wa kupanda miti na kuamua kuwashirikisha wananchi wananchi walikataa na alipowauliza wananchi pale jukwaani kuwa kuna watu wanajuta kunichagua mimi wananchi wengi haraka waliitikia NDIYOOOOOO....ndipo akaamua kuwakebehi kwa kusema mwenye dukuduku moyoni bora aiseme pale kwani muda wake wa kuwa mbunge bado miaka minne na wakiamua kubaki na dukuduku moyoni wanaweza kufa nazo...

3. Alipopeleka mahindi ya msaada kutokana na njaa iliyoikumba wilaya ya muleba mahindi hayo yaliishia mikononi mwa watendaji wa chini kutokana na usimamizi mbaya hivyo wananchi walikasirika sana na kuendeleza hasira zao kwa mama huyu...

4. Matarajio ya wananchi wa Muleba na Taifa juu ya mama huyu yamekuwa tofauti kabisa...pamoja na uzoefu wake wa kuongoza taasisi kubwa ya UN... bado huyu mama anaonekana ni mzigo hasa kwa wakazi wa bukoba kwani hakuna alichofanya...na utofauti wa matarajio haya ya wananchi wengi pamoja na utendaji wa mama huyu ndivyo vitakavyomwangusha vibaya mama huyu pale Muleba mwaka 2015...

4. Shule iliyochini yake ya BABRO JOHNSON ya jijini dar es salaam ilitakiwa itoe elimu bure kwa yatima na watoto waliokuwa kwenye mazingira magumu...lakini imekuwa tofauti...pamoja na misaada kibao anayopata kutoka nje kwa wahisani mama huyu juu ya shule hii ili itoe elimu bure kwa kundi hili la watu yeye ameingiwa na tamaa ya pesa na kuanza kuchukua watoto wa matajiri huku akiwalipisha ada kubwa na kufanya idadi ya yatima na wasiojiweza shuleni hapo kupungua kila mwaka kwani nafasi zao zimechukuliwa na wenye uwezo...

5. Yeye aliwaambia wanamuleba kuwa amestaafu UN lakini wengi waliingiwa na hofu kutokana na mradi wake wa kusambaza maji muleba yote juu ya alikopata fedha zile...sasa imegundulika kuwa ufujaji wa pesa zile za UN na kuamua kuja kujenga miradi ya maji pale muleba ili kujiimarisha kisiasa ndivyo vilivyomuondoa mama huyo pale UN...mama huyu ni miongoni mwa wanawake watatu kutoka tanzania wanaoonyesha dalili za kushindwa mara wanapokabidhiwa nyadhifa za kimataifa...alianza mongella akaja huyu mama na sasa ni Migiro aliyedhihirisha wazi kuwa alikuwa ni mzigo kwa BAN-KIMOON na hivyo bani kuamua kutomuongezea tena miaka mingine ya kuongoza...

NB...analysis yangu haisemi iwapo jimbo hilo litaenda upinzani ila uamuzi wa ccm juu ya mama huyu ndio utakaoamua jimbo hilo liende wapi...



Nawasilisha,,,,

Chuki humzuia mtu kusema ukweli ila kutunga majungu na kupayuka kama juha. Je, mradi wa maji hunawanufaisha nani kama si Wanamuleba? Je, kabla ya hapo Wanamuleba walikuwa na maji ya kutosha. Je, misaada ya maafa iliwasadia akina nani? Je, kosa ni kuwahamasisha wananchi kupanda miti? Hii inaonyesha kuwa upeo wako ni mfupi kama pua yako. Uongozi ni kuonyesha njia na vitendo, je, mipango ya kuendeleza shule za kata anayoifanya, kupambana na ugonjwa wa mnyauko ndio kutokufanya kitu. Kupigania umeme kusambazwa vijijini Muleba ndio kutokufanya kitu? Nenda kapige mswaki na usafishe kinywa chako kabla ya kusema majungu na chuki zako.

Kama una tofauti zako za kisiasa hiyo ni haki yako lakini huna haki ya kueneza chuki zinazotokana na uongo. Ushindwe!
 
Chuki humzuia mtu kusema ukweli ila kutunga majungu na kupayuka kama juha. Je, mradi wa maji hunawanufaisha nani kama si Wanamuleba? Je, kabla ya hapo Wanamuleba walikuwa na maji ya kutosha. Je, misaada ya maafa iliwasadia akina nani? Je, kosa ni kuwahamasisha wananchi kupanda miti? Hii inaonyesha kuwa upeo wako ni mfupi kama pua yako. Uongozi ni kuonyesha njia na vitendo, je, mipango ya kuendeleza shule za kata anayoifanya, kupambana na ugonjwa wa mnyauko ndio kutokufanya kitu. Kupigania umeme kusambazwa vijijini Muleba ndio kutokufanya kitu? Nenda kapige mswaki na usafishe kinywa chako kabla ya kusema majungu na chuki zako.

Kama una tofauti zako za kisiasa hiyo ni haki yako lakini huna haki ya kueneza chuki zinazotokana na uongo. Ushindwe!

huna hoja zaidi badala yakuelezea reality zaidi unaelezea hisia....hivi wew unafurahi kuletewa maji kwa fedha za dhuluma hata hivyo mabomba mengi hayatoi maji kule muleba....yeye aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa kutumia marafiki zake wa nje huoni kama ni udhaifu huu...sasa wako wapi hao marafiki zake katika suala hili la kupanda miti....tofauti na alivyodai anamarafiki nje kumbe anategemea nguvu za wananchi...huoni ufisadi anaoufanya katika shule ya babro johnson kwa watoto yatima...hata uonyeshe upendo gani kwa huyu mama bado huwezi kueleweka...nakushauri nenda kamwambia huyu bibi yako asigombee tena 2015 maana ataabika kwani kwa wanamuleba kumchagua tena huyu ni sawa na kufuta sifuri na kuandika zero...
 
yaani wabongo bwana, kwahiyo mnataka wazungu ndio waje kuwapandia iyo miti???? kweli sikio la kufa......
Hata washuke malaika kutoka mbinguni kuja kututawala, kamwe kwa mawazo haya hatuwezi kuiendelea.
 
...hivi nini maana ya kupita bila kupingwa...mimi nadhani ni kwa sababu alikuwa chaguo la wana muleba...na kuwa chaguo la wanamuleba maana yake nini...maana yake walikuwa na imani kubwa dhidi yake...hata vyama vya upinzani vilimwamini mama huyu...hii ndio maana yangu hasa ya kusema alichaguliwa na wanamuleba...nadhani tunaweza kuelewana mwana jf mwenzangu...

wivu na majungu. Mwaka mmoja afanye nini? Mmesahau mama wa watu alichakachua hata mradi wa nyumba bora wa UNHABITAT akawaletea huko badala ya kupeleka hata Dodoma au umasaini ambako watu bado hawana nyumba nzuri? Hebu muacheni mama wa watu achape kazi. Ni mchapa kazi mzuri na ni mwaminifu. Nyie mmetumwa na wale wahindi aliowanyang'anya viwanja vya wazi naona.
 
Sasa mnataka kumharibia kwa sababu tu amewaudhi kwenye open space mnazojenga? na kwa info ambazo tumezipata! Mama amefichua pesa ambazo wana Kigamboni wanatakiwa kulipwa na hao matajiri walonunua nasikia Eka moja mtu anatakiwa kulipwa Tsh 800m (Million Mia Nane) nyie ndio mnafunika mnataka kudhulumu watu yeye amekiti amekaza mradi upite lakini watu walipwe kama inavostahiki, kama tajiri anavotaka watu walipwe . sasa nyie mafisadi ndio mnamharibia na kumuona hafai kwa kuwaumbua?????

Any proof?
 
...prof. Anna Tibaijuka amejaribu bila mafanikio kuwaonyesha wananchi wa muleba kwamba anawajali...katika safari zake zote jimboni kule amerudi bila mafanikio...hii ni dalili ya kushindwa kwa tibaijuka kule muleba...mimi nadhani huyu mama amezeeka sasa na anapaswa ajiunge na baraza la wazee la ccm ili awe mshauri wa chama chake...

...Hakika prof. Tibaijuka sasa ni dhahiri kwamba hawezi kurudi tena bungeni...hii ni analysis yangu niliyoifanya...
1. Mara baada tu ya kuchaguliwa kuwa mbunge na kuteuliwa na rais jakaya kikwete kuwa waziri mama huyu alikimbilia pale Kariakoo kwenda kupambana na matajiri wa yale magorofa badala ya kwenda jimboni kwake na kwenda kuwashukuru wananchi kwa kumpa ridhaa...mama huyu anatumia muda wake mwingi kupambana na matahiri wa dar es salaam badala ya kushughulikia matatizo ya wapiga kura wake...

2. Katika kampeni zake mwaka 2010 aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa sababu eti anamarfiki wengi wa nje ambao wangeweza kumsaidia...lakini sivyo ilivyofanyika badala yake mwezi wa kwanza alipoenda na mpango wake wa kupanda miti na kuamua kuwashirikisha wananchi wananchi walikataa na alipowauliza wananchi pale jukwaani kuwa kuna watu wanajuta kunichagua mimi wananchi wengi haraka waliitikia NDIYOOOOOO....ndipo akaamua kuwakebehi kwa kusema mwenye dukuduku moyoni bora aiseme pale kwani muda wake wa kuwa mbunge bado miaka minne na wakiamua kubaki na dukuduku moyoni wanaweza kufa nazo...

3. Alipopeleka mahindi ya msaada kutokana na njaa iliyoikumba wilaya ya muleba mahindi hayo yaliishia mikononi mwa watendaji wa chini kutokana na usimamizi mbaya hivyo wananchi walikasirika sana na kuendeleza hasira zao kwa mama huyu...

4. Matarajio ya wananchi wa Muleba na Taifa juu ya mama huyu yamekuwa tofauti kabisa...pamoja na uzoefu wake wa kuongoza taasisi kubwa ya UN... bado huyu mama anaonekana ni mzigo hasa kwa wakazi wa bukoba kwani hakuna alichofanya...na utofauti wa matarajio haya ya wananchi wengi pamoja na utendaji wa mama huyu ndivyo vitakavyomwangusha vibaya mama huyu pale Muleba mwaka 2015...

4. Shule iliyochini yake ya BABRO JOHNSON ya jijini dar es salaam ilitakiwa itoe elimu bure kwa yatima na watoto waliokuwa kwenye mazingira magumu...lakini imekuwa tofauti...pamoja na misaada kibao anayopata kutoka nje kwa wahisani mama huyu juu ya shule hii ili itoe elimu bure kwa kundi hili la watu yeye ameingiwa na tamaa ya pesa na kuanza kuchukua watoto wa matajiri huku akiwalipisha ada kubwa na kufanya idadi ya yatima na wasiojiweza shuleni hapo kupungua kila mwaka kwani nafasi zao zimechukuliwa na wenye uwezo...

5. Yeye aliwaambia wanamuleba kuwa amestaafu UN lakini wengi waliingiwa na hofu kutokana na mradi wake wa kusambaza maji muleba yote juu ya alikopata fedha zile...sasa imegundulika kuwa ufujaji wa pesa zile za UN na kuamua kuja kujenga miradi ya maji pale muleba ili kujiimarisha kisiasa ndivyo vilivyomuondoa mama huyo pale UN...mama huyu ni miongoni mwa wanawake watatu kutoka tanzania wanaoonyesha dalili za kushindwa mara wanapokabidhiwa nyadhifa za kimataifa...alianza mongella akaja huyu mama na sasa ni Migiro aliyedhihirisha wazi kuwa alikuwa ni mzigo kwa BAN-KIMOON na hivyo bani kuamua kutomuongezea tena miaka mingine ya kuongoza...

NB...analysis yangu haisemi iwapo jimbo hilo litaenda upinzani ila uamuzi wa ccm juu ya mama huyu ndio utakaoamua jimbo hilo liende wapi...



Nawasilisha,,,,

huna hoja zaidi badala yakuelezea reality zaidi unaelezea hisia....hivi wew unafurahi kuletewa maji kwa fedha za dhuluma hata hivyo mabomba mengi hayatoi maji kule muleba....yeye aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa kutumia marafiki zake wa nje huoni kama ni udhaifu huu...sasa wako wapi hao marafiki zake katika suala hili la kupanda miti....tofauti na alivyodai anamarafiki nje kumbe anategemea nguvu za wananchi...huoni ufisadi anaoufanya katika shule ya babro johnson kwa watoto yatima...hata uonyeshe upendo gani kwa huyu mama bado huwezi kueleweka...nakushauri nenda kamwambia huyu bibi yako asigombee tena 2015 maana ataabika kwani kwa wanamuleba kumchagua tena huyu ni sawa na kufuta sifuri na kuandika zero...

Dua la kuku halimpati mwewe. Nenda kapambane nae na useme chuki zako zote mpaka koo likukauke na urudi kwenu na aibu.
 
But hey, she's extremely intelligent.

Mvinyo mpya ndani ya buyu la zamani. Huyu mama ni mpambanaji, lakini mahali alipo si pake. Ikumbukwe alipotaka kuanzisha BAWATA na jinsi serikali ilivyoifuta. She is a hard worker, but she belongs to wrong party.
 
Tuwe wazi na kama mtu unajua kuangalia,huyu mama sio mwanasiasa..anapaswa kukaa ofisini,uwa namtazama akiwa anajibu hoja au kutoa hoja bungeni,ni mdhaifu kwenye kujieleza.Na kama anakosa ujasiri vile.Mimi sitashangaa kama akipoteza jimbo hilo 2015,na kwa kweli nitashangaa kama 2015 ataendelea kuwa mbunge.
 
Mimi ni kijana ninayetoka Muleba na ninatarajia kuomba ridhaa ya wananchi kuingia bungeni kupitia CHADEMA ambacho mimi ni mwanachama wake.

Muda ukifika naomba kampani ya kutosha
 
owo olwango ati: KABILIME TABILYE.......
abahaya tulekele olwango,Mama Tibaijuka angekuwa mchaga ungeona jinsi jamii yake ambavyo inge rally behind her maana wanajua value ya 'power'.Sisi wahaya full mtimanyongo,haya tunayomfanyia huyu mama ndo tulimfanyia Dio Kamala,tukamfanyia Mzee Rwegasira , tukamfanyia Masilingi and so on,ilitusaidia nini?Tubadilike,mwenzetu akipata mamlaka tumpige tafu,eventually it will be for the good of our community.Angalia warombo walivyomtumia Mramba,angalia wauru wanavyomtumia Chami ,angalia wapare walivyomtumi Mzee Msuya,sisi tunakalia inda na roho ya kauzibe,mlayemanya,nyie endeleeni tu kumpiga madongo mama wa watu apoteze kiti cha ubunge na uwaziri na hapo sijui wilaya ya muleba na mkoa wa kagera utakuwa umefaidi nini? wahaya bana,wamenizaa lakini mmmhhhh!!!!!olwango!!!!
 
owo olwango ati: KABILIME TABILYE.......
abahaya tulekele olwango,Mama Tibaijuka angekuwa mchaga ungeona jinsi jamii yake ambavyo inge rally behind her maana wanajua value ya 'power'.Sisi wahaya full mtimanyongo,haya tunayomfanyia huyu mama ndo tulimfanyia Dio Kamala,tukamfanyia Mzee Rwegasira , tukamfanyia Masilingi and so on,ilitusaidia nini?Tubadilike,mwenzetu akipata mamlaka tumpige tafu,eventually it will be for the good of our community.Angalia warombo walivyomtumia Mramba,angalia wauru wanavyomtumia Chami ,angalia wapare walivyomtumi Mzee Msuya,sisi tunakalia inda na roho ya kauzibe,mlayemanya,nyie endeleeni tu kumpiga madongo mama wa watu apoteze kiti cha ubunge na uwaziri na hapo sijui wilaya ya muleba na mkoa wa kagera utakuwa umefaidi nini? wahaya bana,wamenizaa lakini mmmhhhh!!!!!olwango!!!!

Bishanga,
You Hayaz are my Uncles. I used to feel proud of you but of recent I cann't feel so anymore. What a shame to despise patriots fighting to uplift and facelift their natives? At my age I have never seen that happening neither to Chaggaz nor to Nyakyusa.

Look, after independence you used to ride us in every sector being education, politics, finance, social, law, medicines, mention all you know. But now chaggaz are now ahead of you in almost all areas twice as much. Dont you find a lesson to learn from them? Hatred hearts won't take any step forward. Try to go back to your development routes. Honour your sons and daughters. Support them morally and materially. Can you give me the reason why in 90% of the urban councils finding a chagga councilor is a common norm but not other tribes? Do you know that chaggaz have been the dominant tribe in our parliaments more than others? Have ever discovered how they become as one irrespective of their constituencies (Kawe, Viti Maalumu, Moshi mjini, Iringa, Ubungo, etc) and partiess' ideologies (CCM, CDM, etc) when it touches Moshi and Kilimanjaro interests?
 
Bishanga,
You Hayaz are my Uncles. I used to feel proud of you but of recent I cann't feel so anymore. What a shame to despise patriots fighting to uplift and facelift their natives? At my age I have never seen that happening neither to Chaggaz nor to Nyakyusa.

Look, after independence you used to ride us in every sector being education, politics, finance, social, law, medicines, mention all you know. But now chaggaz are now ahead of you in almost all areas twice as much. Dont you find a lesson to learn from them? Hatred hearts won't take any step forward. Try to go back to your development routes. Honour your sons and daughters. Support them morally and materially. Can you give me the reason why in 90% of the urban councils finding a chagga councilor is a common norm but not other tribes? Do you know that chaggaz have been the dominant tribe in our parliaments more than others? Have ever discovered how they become as one irrespective of their constituencies (Kawe, Viti Maalumu, Moshi mjini, Iringa, Ubungo, etc) and partiess’ ideologies (CCM, CDM, etc) when it touches Moshi and Kilimanjaro interests?
we acha tu,nashukuru wahaya wamenizaa wakanilea lakini kuna tabia zetu (hasa wivu wa kijinga) kweli zinatia kichefuchefu,yaani hatupendi mwenzetu atutangulie na kutuonyesha njia,ukipanda ngazi tu they try to drag you down,wahaya tuache hizo,shame on us!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom