Mwakiluma
Senior Member
- Jan 23, 2012
- 120
- 47
...Hakika prof. Tibaijuka sasa ni dhahiri kwamba hawezi kurudi tena bungeni...hii ni analysis yangu niliyoifanya...
1. Mara baada tu ya kuchaguliwa kuwa mbunge na kuteuliwa na rais jakaya kikwete kuwa waziri mama huyu alikimbilia pale Kariakoo kwenda kupambana na matajiri wa yale magorofa badala ya kwenda jimboni kwake na kwenda kuwashukuru wananchi kwa kumpa ridhaa...mama huyu anatumia muda wake mwingi kupambana na matahiri wa dar es salaam badala ya kushughulikia matatizo ya wapiga kura wake...
2. Katika kampeni zake mwaka 2010 aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa sababu eti anamarfiki wengi wa nje ambao wangeweza kumsaidia...lakini sivyo ilivyofanyika badala yake mwezi wa kwanza alipoenda na mpango wake wa kupanda miti na kuamua kuwashirikisha wananchi wananchi walikataa na alipowauliza wananchi pale jukwaani kuwa kuna watu wanajuta kunichagua mimi wananchi wengi haraka waliitikia NDIYOOOOOO....ndipo akaamua kuwakebehi kwa kusema mwenye dukuduku moyoni bora aiseme pale kwani muda wake wa kuwa mbunge bado miaka minne na wakiamua kubaki na dukuduku moyoni wanaweza kufa nazo...
3. Alipopeleka mahindi ya msaada kutokana na njaa iliyoikumba wilaya ya muleba mahindi hayo yaliishia mikononi mwa watendaji wa chini kutokana na usimamizi mbaya hivyo wananchi walikasirika sana na kuendeleza hasira zao kwa mama huyu...
4. Matarajio ya wananchi wa Muleba na Taifa juu ya mama huyu yamekuwa tofauti kabisa...pamoja na uzoefu wake wa kuongoza taasisi kubwa ya UN... bado huyu mama anaonekana ni mzigo hasa kwa wakazi wa bukoba kwani hakuna alichofanya...na utofauti wa matarajio haya ya wananchi wengi pamoja na utendaji wa mama huyu ndivyo vitakavyomwangusha vibaya mama huyu pale Muleba mwaka 2015...
4. Shule iliyochini yake ya BABRO JOHNSON ya jijini dar es salaam ilitakiwa itoe elimu bure kwa yatima na watoto waliokuwa kwenye mazingira magumu...lakini imekuwa tofauti...pamoja na misaada kibao anayopata kutoka nje kwa wahisani mama huyu juu ya shule hii ili itoe elimu bure kwa kundi hili la watu yeye ameingiwa na tamaa ya pesa na kuanza kuchukua watoto wa matajiri huku akiwalipisha ada kubwa na kufanya idadi ya yatima na wasiojiweza shuleni hapo kupungua kila mwaka kwani nafasi zao zimechukuliwa na wenye uwezo...
5. Yeye aliwaambia wanamuleba kuwa amestaafu UN lakini wengi waliingiwa na hofu kutokana na mradi wake wa kusambaza maji muleba yote juu ya alikopata fedha zile...sasa imegundulika kuwa ufujaji wa pesa zile za UN na kuamua kuja kujenga miradi ya maji pale muleba ili kujiimarisha kisiasa ndivyo vilivyomuondoa mama huyo pale UN...mama huyu ni miongoni mwa wanawake watatu kutoka tanzania wanaoonyesha dalili za kushindwa mara wanapokabidhiwa nyadhifa za kimataifa...alianza mongella akaja huyu mama na sasa ni Migiro aliyedhihirisha wazi kuwa alikuwa ni mzigo kwa BAN-KIMOON na hivyo bani kuamua kutomuongezea tena miaka mingine ya kuongoza...
NB...analysis yangu haisemi iwapo jimbo hilo litaenda upinzani ila uamuzi wa ccm juu ya mama huyu ndio utakaoamua jimbo hilo liende wapi...
Nawasilisha,,,,
1. Mara baada tu ya kuchaguliwa kuwa mbunge na kuteuliwa na rais jakaya kikwete kuwa waziri mama huyu alikimbilia pale Kariakoo kwenda kupambana na matajiri wa yale magorofa badala ya kwenda jimboni kwake na kwenda kuwashukuru wananchi kwa kumpa ridhaa...mama huyu anatumia muda wake mwingi kupambana na matahiri wa dar es salaam badala ya kushughulikia matatizo ya wapiga kura wake...
2. Katika kampeni zake mwaka 2010 aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa sababu eti anamarfiki wengi wa nje ambao wangeweza kumsaidia...lakini sivyo ilivyofanyika badala yake mwezi wa kwanza alipoenda na mpango wake wa kupanda miti na kuamua kuwashirikisha wananchi wananchi walikataa na alipowauliza wananchi pale jukwaani kuwa kuna watu wanajuta kunichagua mimi wananchi wengi haraka waliitikia NDIYOOOOOO....ndipo akaamua kuwakebehi kwa kusema mwenye dukuduku moyoni bora aiseme pale kwani muda wake wa kuwa mbunge bado miaka minne na wakiamua kubaki na dukuduku moyoni wanaweza kufa nazo...
3. Alipopeleka mahindi ya msaada kutokana na njaa iliyoikumba wilaya ya muleba mahindi hayo yaliishia mikononi mwa watendaji wa chini kutokana na usimamizi mbaya hivyo wananchi walikasirika sana na kuendeleza hasira zao kwa mama huyu...
4. Matarajio ya wananchi wa Muleba na Taifa juu ya mama huyu yamekuwa tofauti kabisa...pamoja na uzoefu wake wa kuongoza taasisi kubwa ya UN... bado huyu mama anaonekana ni mzigo hasa kwa wakazi wa bukoba kwani hakuna alichofanya...na utofauti wa matarajio haya ya wananchi wengi pamoja na utendaji wa mama huyu ndivyo vitakavyomwangusha vibaya mama huyu pale Muleba mwaka 2015...
4. Shule iliyochini yake ya BABRO JOHNSON ya jijini dar es salaam ilitakiwa itoe elimu bure kwa yatima na watoto waliokuwa kwenye mazingira magumu...lakini imekuwa tofauti...pamoja na misaada kibao anayopata kutoka nje kwa wahisani mama huyu juu ya shule hii ili itoe elimu bure kwa kundi hili la watu yeye ameingiwa na tamaa ya pesa na kuanza kuchukua watoto wa matajiri huku akiwalipisha ada kubwa na kufanya idadi ya yatima na wasiojiweza shuleni hapo kupungua kila mwaka kwani nafasi zao zimechukuliwa na wenye uwezo...
5. Yeye aliwaambia wanamuleba kuwa amestaafu UN lakini wengi waliingiwa na hofu kutokana na mradi wake wa kusambaza maji muleba yote juu ya alikopata fedha zile...sasa imegundulika kuwa ufujaji wa pesa zile za UN na kuamua kuja kujenga miradi ya maji pale muleba ili kujiimarisha kisiasa ndivyo vilivyomuondoa mama huyo pale UN...mama huyu ni miongoni mwa wanawake watatu kutoka tanzania wanaoonyesha dalili za kushindwa mara wanapokabidhiwa nyadhifa za kimataifa...alianza mongella akaja huyu mama na sasa ni Migiro aliyedhihirisha wazi kuwa alikuwa ni mzigo kwa BAN-KIMOON na hivyo bani kuamua kutomuongezea tena miaka mingine ya kuongoza...
NB...analysis yangu haisemi iwapo jimbo hilo litaenda upinzani ila uamuzi wa ccm juu ya mama huyu ndio utakaoamua jimbo hilo liende wapi...
Nawasilisha,,,,