Sawa. wana haki ya kuandamana, lakini pia vyama vingine vya siasa vina haki hiyo. Haki sawa.
umenifurahisha snSiombei hili- lakini utasikia kuwa Watu waliokuwa wanatoka kwenye mkutano wa CCM wajeruhiwa kilomita 80 kutoka Mbeya mjini baada ya lori walilokuwa wanasafiria kushindwa kupanda mlima... narudia siombei hilo litokee...
Tangia nimeanza kusoma posts zako leo for the first time nimeona constructive idea from you kumbe una akili timamu ukichaa unaigiza tu bravo kungekuwa na ka thank you ningekubofyeaSasa hivi ni kupambana kwenye katiba mpya kupata mgombea binafsi
Wengi wametoka Ileje na Mbarali huko Rujewa na Wahanji wa Chimala. Kyela si rahisi kwenda kudanganywa, na huyo ndugu yao H 2015 mh!