Kuahkiki wahamiaji wa Mabwepande wake comfortable katika mahema yao na kupokea donations toka kwa taasisi mbalimbali kama mabati, matanki ya maji na vyakula kwa wakzi wa Mabwepande!
Ni shughuliyenye kuchosha na foleni za njia ya Bgmy si mchezo hadi amekuwa akipewa gari ya polisi kusafishia njia akienda kupokea misaada! Hakika likizo ni MUHIMU baada ya wakazi wa Mabwepande ku-settle mahemani kwao:-(
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.