acha kutudanganya hapaKila vocha ina tarehe ya mwisho wake wa matumizi, wewe ukishaitumia hifadhi vizuriii... muda wake ukiisha hurudishwa tena sokoni kwa matumizi, na huo ndio muda wako muafaka wa kuenjoy vocha zako ulizokuwa umehifadhi hapo awali
Swali hili liliwahi kuulizwa na Michael Ngusa Dec 2014 na nilimjibu kwa kirefu na kitaalam kama ifuatavyo:Wakuu, hivi ni akili gani imetumika kutengeneza hizi namba za vocha kiasi hata ufanyaje hauwezi kupatia kuingiza namba hizi kwa kubuni na ukapata salio,ni nini kimefanyika?
Wajuvi mtujuze mkijuacho,nimeamua kuwaza tu kwa sauti...
daplessIgnored
Kaa hapo hapoSwali hili liliwahi kuulizwa na Michael Ngusa Dec 2014 na nilimjibu kwa kirefu na kitaalam kama ifuatavyo:
Hesabu lake liko hivi:
Kuna digits 10 tu yaani 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9
Namba za siri kwenye vocha zipo 14
Ukianza kubahatisha, uwezekano wa bahatisho la kwanza kuwa sahihi (kwa mfano kama namber sahihi ni 4) ni:
1/10
uwezekano wa bahatisho la pili kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili tuseme ni 7 (yaani 47) ) ni:
1/100
uwezekano wa bahatisho la tatu kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili ambayo ni 7 na ya tatu tuseme ni 9 (yaani 479) ) ni:
1/1000
tukiendelea hadi number zote 14 zipatikane kwa usahihi itakuwa hivi kwa kifupi:
bahatisho (event) na uwezekano (probability)
la kwanza 1/10
la pili 1/100
la tatu 1/1000
la nne 1/10000
la tano 1/100000
la sita 1/1000000
la saba 1/10000000
la nane 1/100000000
la tisa 1/1000000000
la kumi 1/10000000000
la kumi na moja 1/100000000000
la kumi na mbili 1/1000000000000
la kumi na tatu 1/10000000000000
la kumi na nne 1/100000000000000
Uwezekano wa mabahatisho yote 14 kuwa sahihi ni:
1/10 x 1/100 x 1/1000 x 1/10000.................................x 1/10^14
ambapo jibu lake ni 1x10^105 au 1/10^14! (! siyo alama ya mshangao bali ni alama ya kihesabu (factorial) kama vile 5!=5x4x3x2x1)
hivyo basi uwekano wa kupata numba zote 14 zikiwa sahihi ni:
0.0000000000000000000000000000000000000000000000..............endelea mpaka zifike sifuri 105! (! hapa ni alama ya mshangao)
AMBAYO KWA MANENO YA KITAKWIMU NDIYO KUSEMA TU NI VIGUMU MNO (ALMOST NO CHANCE)!!!
HITIMISHO: UWEZEKANO WA KUBAHATISHA VOCHA NI MDOGO MNO!.
USHAURI: NENDA KANUNUE KWA WAUZAO KAMA UNA FEDHA.
Kila vocha ina tarehe ya mwisho wake wa matumizi, wewe ukishaitumia hifadhi vizuriii... muda wake ukiisha hurudishwa tena sokoni kwa matumizi, na huo ndio muda wako muafaka wa kuenjoy vocha zako ulizokuwa umehifadhi hapo awali
Nkwel uko sahihiKama hizi hesabu zimevumbuliwa na mwanadamu. Basi tukae tukijua wapo binadamu wachache wanayombinu ya kugundua hizo namba. Tatizo watu wenye uwezo huo wana mambo mengine makubwa kiasi kwamba huo ni kama mchezo wa kitoto
Acha uwongo wee jamaa! ukibadilisha number za vocha lazma ubadilishe na serial number ya vocha ndiyo upate hyo 2000!Mi nilishawai kupatia vocha ya tsh 2000,,
Acha urongo madheeKila vocha ina tarehe ya mwisho wake wa matumizi, wewe ukishaitumia hifadhi vizuriii... muda wake ukiisha hurudishwa tena sokoni kwa matumizi, na huo ndio muda wako muafaka wa kuenjoy vocha zako ulizokuwa umehifadhi hapo awali
Mkuu vipi ndo unaisoma namba auuu?
Hapa ndo nagundua kuwa alietengeneza simu hakua na nia mbaya, ila mnafiki na mpuuzi ni aliegundua vocha
Swali hili liliwahi kuulizwa na Michael Ngusa Dec 2014 na nilimjibu kwa kirefu na kitaalam kama ifuatavyo:
Hesabu lake liko hivi:
Kuna digits 10 tu yaani 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9
Namba za siri kwenye vocha zipo 14
Ukianza kubahatisha, uwezekano wa bahatisho la kwanza kuwa sahihi (kwa mfano kama namber sahihi ni 4) ni:
1/10
uwezekano wa bahatisho la pili kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili tuseme ni 7 (yaani 47) ) ni:
1/100
uwezekano wa bahatisho la tatu kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili ambayo ni 7 na ya tatu tuseme ni 9 (yaani 479) ) ni:
1/1000
tukiendelea hadi number zote 14 zipatikane kwa usahihi itakuwa hivi kwa kifupi:
bahatisho (event) na uwezekano (probability)
la kwanza 1/10
la pili 1/100
la tatu 1/1000
la nne 1/10000
la tano 1/100000
la sita 1/1000000
la saba 1/10000000
la nane 1/100000000
la tisa 1/1000000000
la kumi 1/10000000000
la kumi na moja 1/100000000000
la kumi na mbili 1/1000000000000
la kumi na tatu 1/10000000000000
la kumi na nne 1/100000000000000
Uwezekano wa mabahatisho yote 14 kuwa sahihi ni:
1/10 x 1/100 x 1/1000 x 1/10000.................................x 1/10^14
ambapo jibu lake ni 1x10^105 au 1/10^14! (! siyo alama ya mshangao bali ni alama ya kihesabu (factorial) kama vile 5!=5x4x3x2x1)
hivyo basi uwekano wa kupata numba zote 14 zikiwa sahihi ni:
0.0000000000000000000000000000000000000000000000..............endelea mpaka zifike sifuri 105! (! hapa ni alama ya mshangao)
AMBAYO KWA MANENO YA KITAKWIMU NDIYO KUSEMA TU NI VIGUMU MNO (ALMOST NO CHANCE)!!!
HITIMISHO: UWEZEKANO WA KUBAHATISHA VOCHA NI MDOGO MNO!.
USHAURI: NENDA KANUNUE KWA WAUZAO KAMA UNA FEDHA.
Usisahau kuleta mrejeshontaanza kuhifadhi
Swali hili liliwahi kuulizwa na Michael Ngusa Dec 2014 na nilimjibu kwa kirefu na kitaalam kama ifuatavyo:
Hesabu lake liko hivi:
Kuna digits 10 tu yaani 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9
Namba za siri kwenye vocha zipo 14
Ukianza kubahatisha, uwezekano wa bahatisho la kwanza kuwa sahihi (kwa mfano kama namber sahihi ni 4) ni:
1/10
uwezekano wa bahatisho la pili kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili tuseme ni 7 (yaani 47) ) ni:
1/100
uwezekano wa bahatisho la tatu kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili ambayo ni 7 na ya tatu tuseme ni 9 (yaani 479) ) ni:
1/1000
tukiendelea hadi number zote 14 zipatikane kwa usahihi itakuwa hivi kwa kifupi:
bahatisho (event) na uwezekano (probability)
la kwanza 1/10
la pili 1/100
la tatu 1/1000
la nne 1/10000
la tano 1/100000
la sita 1/1000000
la saba 1/10000000
la nane 1/100000000
la tisa 1/1000000000
la kumi 1/10000000000
la kumi na moja 1/100000000000
la kumi na mbili 1/1000000000000
la kumi na tatu 1/10000000000000
la kumi na nne 1/100000000000000
Uwezekano wa mabahatisho yote 14 kuwa sahihi ni:
1/10 x 1/100 x 1/1000 x 1/10000.................................x 1/10^14
ambapo jibu lake ni 1x10^105 au 1/10^14! (! siyo alama ya mshangao bali ni alama ya kihesabu (factorial) kama vile 5!=5x4x3x2x1)
hivyo basi uwekano wa kupata numba zote 14 zikiwa sahihi ni:
0.0000000000000000000000000000000000000000000000..............endelea mpaka zifike sifuri 105! (! hapa ni alama ya mshangao)
AMBAYO KWA MANENO YA KITAKWIMU NDIYO KUSEMA TU NI VIGUMU MNO (ALMOST NO CHANCE)!!!
HITIMISHO: UWEZEKANO WA KUBAHATISHA VOCHA NI MDOGO MNO!.
USHAURI: NENDA KANUNUE KWA WAUZAO KAMA UNA FEDHA.
ikitokea wanakufunga komputa kwenye ubongo,,,,ili kuweza kukutambua umebuni vocha ngapi kwa siku,,,,,,,,,,,,teh dunia itahama hii ikitokea,,,,,Wakuu, hivi ni akili gani imetumika kutengeneza hizi namba za vocha kiasi hata ufanyaje hauwezi kupatia kuingiza namba hizi kwa kubuni na ukapata salio,ni nini kimefanyika?
Wajuvi mtujuze mkijuacho,nimeamua kuwaza tu kwa sauti...
This is funny...Mkuu vipi ndo unaisoma namba auuu?
Hapa ndo nagundua kuwa alietengeneza simu hakua na nia mbaya, ila mnafiki na mpuuzi ni aliegundua vocha