Hivi Mzumbe University siku hizi mbona haivumi?

we jamaa wa ajabu sana. Kwanini umwambie mwenzako hivyo? Ni ndoto zake, na sio zako. Mbona we kigeugeu hivi? Yaani mipango yake ndio unajidai kuipangua, wewe nani? Mkuu hebu kuwa mpole, JF SIO SEHEMU YA KUTOLEA HASIRA ZAKO.

Narudia tena kwa herufi kubwa....UDSM HAFIKI NA ATAPASIKIA KWENYE RADIO TU..............
 
kwahiyo tabia ya mtu ni chuo anachosoma au mtu mwenyewe? Mbona sijakuelewa. Kwanini unahukumu kitabu kwa kukiangalia kasha tu? Kisome ndio ujue kina nini.

Mkuu nadhani kinachokushinda ni kujua kufanya uchambuzi wa hoja tu,endelea kukaa hapa JF nadhani kuna siku utafaulu.............
 
Ulianza vizur lkn mwisho umetumia masaburi kumalizia mada.Mzumbe bado na kinaendelea kuwa chuo bora chenye kiwango kidogo sana cha vilaza ukilinganisha na vyuo vingne kama IAAA,UDOM na vyuo vingine

we mbweha nin,,bora hata shule ya udom na IAA ime2lia kuliko hyo yenu ya kupewa 1st class za kukaririshwa..hata hao vipanga waloko mzumbe sa hz wanajilaumu kupoteza muda wao huko...
 
Hivi wewe dogo sixmund unadhani kusoma chuo fulani magoli sana???........hii inadhihilisha watu wengi mlioko mikoani tena huko vijijini mlivyokuwa nyuma kifikra,na hii inadhihilishwa na upuuzi mnaoendelea kuukalili.Kwa sisi tuliokulia DSM tunajua njia zote za kutoka kimaisha sasa kama unataka kulijua jua linavyounguza wewe kapige hiyo micourse yako hapo UDSM maana unaonekana hata chuo ujaanza ila una mbwembwe zote omba sana ufanye NECTA kwa afya dogo maana usimtukane mamba kabla ujauvuka mto.........Na jitahidi ukiwa unapost comment ujue kuwa humu jukwaani unaongea na kina nani maana sisi sio wanafunzi wa uniform get that into your head.
 
Wewe Senetor acha wivu kwa wanafunzi wanaosoma mzumbe maana naona bado unamaumivu sana,hii inaonesha hapo UDSM umeshaona ukweli wa maisha yako yanakoelekea ni matata matupu waache wanamzumbe waingie makazini huku nyinyi mnaokalili mkae bench na kufundisha tuition mwenge na mchikichini maana hamna deal wanafunzi UDSM by now and ever.........BAF mzumbe course lenye heshima mpaka kesho watu kibao wameitaka wamepigwa chini now wako UDSM kazi kumaind TCU........KAKA LEARN TO LIKE MZUMBE.
 
Wewe Senetor acha wivu kwa wanafunzi wanaosoma mzumbe maana naona bado unamaumivu sana,hii inaonesha hapo UDSM umeshaona ukweli wa maisha yako yanakoelekea ni matata matupu waache wanamzumbe waingie makazini huku nyinyi mnaokalili mkae bench na kufundisha tuition mwenge na mchikichini maana hamna deal wanafunzi UDSM by now and ever.........BAF mzumbe course lenye heshima mpaka kesho watu kibao wameitaka wamepigwa chini now wako UDSM kazi kumaind TCU........KAKA LEARN TO LIKE MZUMBE.

we pimbi nawe unaongea nin??
 
Mkuu nadhani kinachokushinda ni kujua kufanya uchambuzi wa hoja tu,endelea kukaa hapa JF nadhani kuna siku utafaulu.............

we mjinga nini? Kila mtu ana muda wake, huwezi kunifanya niwe kama wewe unavyotaka. Mimi ni mimi na wewe ni wewe! Kufaulu kwangu hakukuhusu.
 
Sikutegemea mtu na akili zako unaropoka utumbo kama huu. Mtu huna hata lugha ya kistaarabu, kazi kuponda watu na kuwa kigeugeu. Huu ni ujinga.
Nashukuru kwa ubwege wangu maana unanisaidia sana kujua hoja uharo za watu wengine kama wewe.............

Endeleeni kupeana moyo kwa uharo wenu....

Mkuu sitaki kujisifu kabisa,ila hoja zangu kwa mtu mwenye akili na asiye punguani atanielewa.........

Mkuu usisifie ujinga,huyo jamaa kwa taarifa yako huko UDSM hafiki na atapasikia kwenye redio tu...


Analysis za kijinga kama hizi ndizo zinaonyesha namna wasomi wetu walivyo majitaka,sasa umeandika nini hapo? Tuache hii tabia ya kuleta thread zisizo na kichwa wala mkia hapa JF....Kwani Mzumbe ikiwa inahitaji miaka 50 kuifikia UDSM inachangia nini kwenye maendeleo ya elimu hapa nchini? Tuwe na akili kidogo jamani..kwa analysis kama hii umekishushia heshima chuo kikuu cha dsm....

Endeleeni kupeana moyo kwa uharo wenu....
 
Sikutegemea mtu na akili zako unaropoka utumbo kama huu. Mtu huna hata lugha ya kistaarabu, kazi kuponda watu na kuwa kigeugeu. Huu ni ujinga.

usipoteze muda wako kwa kubishana na haya majitu ya mzumbe mkuu,co level yako kabisa,we level yako ni vichwa toka makerere,sua,nairobi,capetown,oxford,havard na cambridge..
 
we pimbi nawe unaongea nin??

mantiki ni kwamba wewe hauna dira na sidhani hata kama hapo UD unasoma course ya maana nafikiri ndo nyie mpo tayari kusoma UD at any cost hata kwa course zisizo na market kabisa.USILINGANISHE KABISA MZUMBE NA COLLAGES ZENU HAPO UD bora muhimbiri,ardhi wanaweza kuongea maana bado vinahadhi.
 
usipoteze muda wako kwa kubishana na haya majitu ya mzumbe mkuu,co level yako kabisa,we level yako ni vichwa toka makerere,sua,nairobi,capetown,oxford,havard na cambridge..

sio kosa lako.. litakuwa la malezi mabovu uliyoyapata toka kwa wazazi wako... na huko uswahilini mnnakoogea nje bila aibu.. ndom maana unakuja na pumba zisizo na FACT wala ahalisia wowote
 
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6,mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba wao ni private sponsered.kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma mzumbe cku moja kutokana na sifa kem kemu nlzokuaga nazckia zikikitangaza hcho chuo,bac ikatoe muda wa kufanya application ulvofka,nkaaply udsm,mzumbe,IAA na udom,Matokeo yangu hayakuwa mabaya sana kiac cha kunifanya nikose chuo chochote hapa ulimwenguni..cha kushangaza selection zlvotoka nkawa nimepata udsm,IAA,na Udom lakini mzumbe wakawa wamenipga chini,wel nkaconfirm zangu kwenda udsm lakini nkiwa na huzuni kwan chaguo langu lilikua mzumbe na wao wamenpga chini,kufika udsm na nilipozoea shule..nkaanza kufanya comparisons kati ya udsm na mzumbe nione wapi pana shule ya ukweli,nkaja kugundua kwamba mzumbe wanahitaji miaka takribani 50 ili kufikia nusu ya mafanikio ilyonayo udsm..sasa nkawa najiuliza zile mbwembwe nlzokua nazkia kuhusu mzumbe zlikua ni za nin?baadae tcu wakashka rungu la kupangia wa2 vyuo,ndo siisikii tena hyo mzumbe kabisa,cjui imefia wapi vile,nimebaki kuckia madogo wakikimbilia kuaply udsm,sua,udom,ifm na muhimbili..cjui wamegundua mchezo gani mchafu unaochezwa huko mzumbe hadi hawakishobokei tena kama enzi ze2...[/QUOT

Kijana hili ni Jukwaa la Great Thinkers, unapopost vitu jaribu kuwa na dalili za utafiti kidogo vinginevyo ulitakiwa ukayaongelee vijijini uliko mtaji wa Magamba siyo kwa watu makini km humu. Kwa kukusaidia haijawahi kuwa na kigezo kama hicho ulichokisema. Siku zote wanaangalia compitive certificates,Mzumbe kuna baadhi ya kozi kama BAF zina ushindani mkubwa koliko chuo chochote hapa nchini. Kama huamini kaulizewanaojua watakusaidia.

Kwa taarifa yako kuna Kozi nyingine zinazotolwa Mzumbe ajira zake hazisumbui, kuna wanafunzi wanatoka tu Mzumbe na Kwenda kwenye ajira moja kwa moja. Kama utaendelea na mawazo kama haya ya mkosaji wataokuja kukuomba ushaur watakua wamepotea kama wanaotegemea maisha bora kuletwa na Magamba.

Kama bwana mdogo amechemka basi wewe utakuwa kuni zinazoungua kumfanya mtoa hoja achemke.
Nadhani ulitakiwa kama unania ya kumkosoa mtoa hoja uwe na strong points za kutetea hoja yako kwa maana uwe CRITIC.Sasa hicho ulichoandika hapo kwenye RED ni vague statements.Inaonyesha jinsi gani unatetea hoja kwa mapenzi binafsi pasipo kudadisi nini kiini cha hoja.
Mtoa hoja ametoa uchambuzi wake usio na evidence na wala chanzo cha utafiti ,pia majibu yake ni Biased.Ila sio ticket ya kupinga 100% alicho ainisha.
Kwa takwimu za Ranking Web of World Universities ambazo zimetolewa 31/7/2011 UDS ni chuo cha 3,438 duniani wakati Mzumbe ni chuo cha 10,107.Tena haitoshi kwa Tanzania Mzumbe katika Rank hiyo Kipo Nyuma ya SUA,Hubert Kariuki,Open University of Tanania.
Ubora wa chuo unapimwa kwa vitu vingi sana ,Machapisho ya Chuo-kutokana na tafiti mbalimbali,Wahitimu wanaomaliza (Competence yao Global),links mbalimbali za chuo,Uwezo wa walimu wa chuo(qualification zao) na staff wengine nk..
Katika vigezo hivyo-sitapenda kukuchosha sana ila hakuna hata kimoja ambacho Mzumbe inaweza ikaizidi UDSM.Ukitetea kuhusu competence ya wahitimu utakuwa unajidanganya kwa kuwa kwa % UDSM itakuwa juu sana kutokana na kuwa inawanahitimu wengi wengi zaidi ya Mzumbe Kuanzia Undergraduate mpaka Postgraduate (Master & PhD) ,hivyo kigezo hicho ukilinganisha kwa % Mzumbe itakuwa imeachwa mbali sana,Pia Mzumbe ni chuo kichanga ukilinganisha na UDSM kwa kigezo hicho.Na hata kwa uhalisia Global wahitimu wa UDSM bado wapo compitance zaidi ya Mzumbe-(Mifano hai ipo ,Dr.Asha Rose Migiro,Prof. Baregu,Prof Lipumba,Prof Pius Yanda,Dr Azaveli Rwaitama n.k-hawa ni baadhi ya watu wanao compete global na ni mazao ya UDSM)
Nimekupa angalizo kuhusu Competence makusudi kwa sababu ndio hoja ambayo wengi wanaitetea wakati si kweli.

Angalau ungekuja na hoja kuwa wanafunzi wanaomaliza MZUMBE-BAF wakienda kufanya mitihani ya ACCA wanahitimu kwa % kubwa kulinganisha na wanafunzi wa B-COM UDSM hapo ungekuwa umejenga hoja kuliko hizo Vegue statement kwenye Red
 
we pimbi nawe unaongea nin??

mantiki ni kwamba wewe hauna dira na sidhani hata kama hapo UD unasoma course ya maana nafikiri ndo nyie mpo tayari kusoma UD at any cost hata kwa course zisizo na market kabisa.USILINGANISHE KABISA MZUMBE NA COLLAGES ZENU HAPO UD bora muhimbiri,ardhi wanaweza kuongea maana bado vinahadhi.
 
Back
Top Bottom