Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,441
- 25,582
uandishi wako uko kama wa face book. usiandike kihuni kwenye jf badilisha jinsi unavyo andika. sawa
Mwambio huyo! Asiwe anaropoka ropoka tu bila mpangilio wa kihesabu! Mana anatushusha hadhi hadi sisi wanafunzi wa hapa kibaha sec tunaotegemea kwenda udsm next year.
Mwambio huyo! Asiwe anaropoka ropoka tu bila mpangilio wa kihesabu! Mana anatushusha hadhi hadi sisi wanafunzi wa hapa kibaha sec tunaotegemea kwenda udsm next year.
Kwa hii kauli hapa juu,
Mimi naona na wewe una analysis za kijinga. Yaani mtu mmoja ndio akufanye utuone sisi wanachuo wote wa udsm hatuna hadhi?
Kumbuka ulimwambia Senetor
sasa naona na wewe, unajishushia hadhi, Senetor ni Senetor, na alivyo yeye ni yeye, na sio wanachuo wa udsm wapo kama Senetor, kila mtu yupo kivyake. Wewe changia mada, sio kuhukumu tu watu na chuo kizima.
heheheeee, karibu sana udsm. Piga book usisikilize maneno ya watu. Huyo jamaa wa ajabu sana.
Mkuu hata mimi nimemwambia,kama ndio wasomi wa UDSM wako hivi basi UDSM imekwisha kabisa na kubakia jina tu...Hajui kujenga hoja,hana mtiririko mzuri ili mradi kaandika tu.....
nimejaribu kumkumbusha mara kwa mara kuhusu uandishi wake ameshindwa kubadilika.
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6,mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba wao ni private sponsered.kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma mzumbe cku moja kutokana na sifa kem kemu nlzokuaga nazckia zikikitangaza hcho chuo,bac ikatoe muda wa kufanya application ulvofka,nkaaply udsm,mzumbe,IAA na udom,Matokeo yangu hayakuwa mabaya sana kiac cha kunifanya nikose chuo chochote hapa ulimwenguni..cha kushangaza selection zlvotoka nkawa nimepata udsm,IAA,na Udom lakini mzumbe wakawa wamenipga chini,wel nkaconfirm zangu kwenda udsm lakini nkiwa na huzuni kwan chaguo langu lilikua mzumbe na wao wamenpga chini,kufika udsm na nilipozoea shule..nkaanza kufanya comparisons kati ya udsm na mzumbe nione wapi pana shule ya ukweli,nkaja kugundua kwamba mzumbe wanahitaji miaka takribani 50 ili kufikia nusu ya mafanikio ilyonayo udsm..sasa nkawa najiuliza zile mbwembwe nlzokua nazkia kuhusu mzumbe zlikua ni za nin?baadae tcu wakashka rungu la kupangia wa2 vyuo,ndo siisikii tena hyo mzumbe kabisa,cjui imefia wapi vile,nimebaki kuckia madogo wakikimbilia kuaply udsm,sua,udom,ifm na muhimbili..cjui wamegundua mchezo gani mchafu unaochezwa huko mzumbe hadi hawakishobokei tena kama enzi ze2...
Ha ha ha ha ha ha ha ha...mkuu kwa hiyo huyu jamaa ni sikio la kufa?
Haya ona sasa na huyu...Aisee!! Hv watanzania mna nini jamani? Hv na wewe unajiona umechangia kama great thinker? Jamani narudia tena tujaribu kuwa serious na tuongeze umakini kidogo...Hii ni hatari kwa taifa letu,ukitaka kujua nchi ilivyo kwenye hali tete kaa hapa JF uone michango ya baadhi ya wanachama wa hili jukwaa ambao hawajui kwanini wameingia humu...Tuongeze umakini kidogo basi....
Mkuu usisifie ujinga,huyo jamaa kwa taarifa yako huko UDSM hafiki na atapasikia kwenye redio tu...
Mkuu usisifie ujinga,huyo jamaa kwa taarifa yako huko UDSM hafiki na atapasikia kwenye redio tu...
Haya ona sasa na huyu...Aisee!! Hv watanzania mna nini jamani? Hv na wewe unajiona umechangia kama great thinker? Jamani narudia tena tujaribu kuwa serious na tuongeze umakini kidogo...Hii ni hatari kwa taifa letu,ukitaka kujua nchi ilivyo kwenye hali tete kaa hapa JF uone michango ya baadhi ya wanachama wa hili jukwaa ambao hawajui kwanini wameingia humu...Tuongeze umakini kidogo basi....
kwahiyo tabia ya mtu ni chuo anachosoma au mtu mwenyewe? Mbona sijakuelewa. Kwanini unahukumu kitabu kwa kukiangalia kasha tu? Kisome ndio ujue kina nini.Mkuu nadhani wa kwanza kumlaumu ni huyo mleta thread aliyejisifu kuwa ni mwanafunzi wa UDSM...Narudia tena na wala sifuti kauli tena naandika kwa herufi kubwa...KAMA WANAFUNZI AU WAHITIMU WA UDSM NDIYO WAKO HIVI,BASI UDSM IMEBAKIA JINA NA MAJENGO TU...sitegemei mhitimu au mwanafunzi wa UDSM atoe uharo kama huu ni majitaka haya.....
Mkuu usisifie ujinga,huyo jamaa kwa taarifa yako huko UDSM hafiki na atapasikia kwenye redio tu...
We ***** kweli mjamaa! Nahisi utakuwa unasoma ZOOM ZOOM COLLEGE!
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6,mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba wao ni private sponsered.kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma mzumbe cku moja kutokana na sifa kem kemu nlzokuaga nazckia zikikitangaza hcho chuo,bac ikatoe muda wa kufanya application ulvofka,nkaaply udsm,mzumbe,IAA na udom,Matokeo yangu hayakuwa mabaya sana kiac cha kunifanya nikose chuo chochote hapa ulimwenguni..cha kushangaza selection zlvotoka nkawa nimepata udsm,IAA,na Udom lakini mzumbe wakawa wamenipga chini,wel nkaconfirm zangu kwenda udsm lakini nkiwa na huzuni kwan chaguo langu lilikua mzumbe na wao wamenpga chini,kufika udsm na nilipozoea shule..nkaanza kufanya comparisons kati ya udsm na mzumbe nione wapi pana shule ya ukweli,nkaja kugundua kwamba mzumbe wanahitaji miaka takribani 50 ili kufikia nusu ya mafanikio ilyonayo udsm..sasa nkawa najiuliza zile mbwembwe nlzokua nazkia kuhusu mzumbe zlikua ni za nin?baadae tcu wakashka rungu la kupangia wa2 vyuo,ndo siisikii tena hyo mzumbe kabisa,cjui imefia wapi vile,nimebaki kuckia madogo wakikimbilia kuaply udsm,sua,udom,ifm na muhimbili..cjui wamegundua mchezo gani mchafu unaochezwa huko mzumbe hadi hawakishobokei tena kama enzi ze2...
uandishi wako uko kama wa face book. usiandike kihuni kwenye jf badilisha jinsi unavyo andika. sawa