JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
..nimetembelea kule na sijaona picha wala habari za ujio wa Prof.Nguyuru Ibrahim Lipumba.
..mbona habari za Maalim Seif, na Ismail Jussa, zinapewa coverage ya kutosha?
..je, huu ni muendelezo wa chuki na ubaguzi dhidi ya wa-Tanganyika?
..inakuwaje mtandao wa washabiki wa CUF usitoe habari zozote zile za ujio wa mwenyekiti wao?
..mbona habari za Maalim Seif, na Ismail Jussa, zinapewa coverage ya kutosha?
..je, huu ni muendelezo wa chuki na ubaguzi dhidi ya wa-Tanganyika?
..inakuwaje mtandao wa washabiki wa CUF usitoe habari zozote zile za ujio wa mwenyekiti wao?