Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 597
- Thread starter
- #21
Uchafu ni tabia ya mtu. Kuna wanaume wachafu kadhalika wanawake wachafu. Unaweza kwenda kwenye nyumba ya mwanaume aliyeoa ukashindwa kunywa hata maji. Hivyo huo uchafu ulioona si matokeo ya mwanamme kuwa singo bali tabia yake. Mbona baba yenu mie kabla ya kuoa nilikuwa msafi sana? Nakumbuka shuleni na jeshini tukifundishwa kutandika vitanda na kuwa mardadi ukiachia mbali kufundishwa nyumbani.
Nakubaliana nawe asilimia zote kuna baadhi ya wanawake ni wachafu hawsaa unaweza kukuta viombo vya jana usiku vimeshinda kutwa havijaoshwa vimefula kwa uchafu