Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Zamani mimi kama hali kama hiyo nikikumbana nayo nilikuwa nawahi kujinyunyizia spirit nione kama nimechubuka! Lol
Hahahahaha ukiona shwari unajijua upo safe komredi hii dhana zamani nilikuwa nasikia eti ukimaliza ukinyunyuzia spirit unaua vijidudu