bo adams
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 213
- 351
Ingekuwa siku moja moja watu wanazungumzia na utamu wa ndoa, stara inayopatikana na heshma ya mwanandoa kwa jamii. Wakubwa na walio kwenye ndoa kuhamasisha watu waache uhuni waingie kwenye maisha mazuri ya ndoa.Nikifikiria kuoa nahisi kuchanganyikiwa,ngoja niendelee kula ujana.
Mitandao ya jamii inaongoza kwa kwa kutoa picha ya vijana wasithubutu kuingia kwenye ndoa..kila mtu akipost ni ushuhuda anavyoteseka na mke au mumewe. Mume anachepuka na wanawake mtaani, mke anatembea na wavulana wadogo mpk aibu.
Ukimchunguza sana bata huwezi kumla.