Hivi muda wa MWANAMUME kurudi nyumbani ni saa ngapi?

nyumbani nafika punde tu nafunga kazi. nakuwa na muda mzuri na mama, namsifiwa maumbile yake, namsaidia kupika na kuosha vitoto. punde watoto wakienda kulala, nalifungua fridge tunakamata mbili mbili baridi huku nikimpa sifa zote. sababu tu ni kumtayarisha kwa ********hapo sasa utaipenda, hebu jaribu leo
 
Siwezi kupangiwa muda wa kurudi lakini ni muhimu kupita home baada ya kazi kama una mke na watoto na kama una la muhimu toka na usichelewe sana.Pia ni muhimu kutoka siku mojamoja na mkeo awajue rafiki zako na viwanja vyako hii hujenga uaminifu.Ikibidi huwezi pita home baada ya kazi piga simu mjulishe mwenzako ni kitu kidogo lakini muhimu.

haina haja ya kumpeleka huko kote kama hakuna la msing bora urudi mapema home coz kiwanja cha maana ni kwako tu.unaweza ukampeleka akaona mazingira ya kumtisha mfano kuna bamed wazuri kushinda yeye alafu wamekuzoea sana na akawa hana amani kabisa.na kujikuta mnaingia kwenye ligi.
 
Sio wanaume woote wanafaa kuwahi kurudi... aaaiseee inategemea mambo mengi mno which determines the time ya mwanaume kurudi ndani....
 
kweli huu mwongozo nimeupenda
Mimi kwangu sina muda maarumu,mara 11 jioni,mara saa 2,mara saa 5,sometime saa 8 na ukiona mkeo anakupigia kelele ooooh sijui nini, toka nae na siku hiyo uhakikishe mnarudi alfajiri ili ajionee asinzie mezani aliwe na mbu akisema baba watoto twende we unamwambia subiri kidogo tu mpenzi tunaondoka sasa hivi,uone kama atarudia tena ukimwambia tena twende atakataa ila atakwambi usirudi alfajiri.
 
Mimi kwangu sina muda maarumu,mara 11 jioni,mara saa 2,mara saa 5,sometime saa 8 na ukiona mkeo anakupigia kelele ooooh sijui nini, toka nae na siku hiyo uhakikishe mnarudi alfajiri ili ajionee asinzie mezani aliwe na mbu akisema baba watoto twende we unamwambia subiri kidogo tu mpenzi tunaondoka sasa hivi,uone kama atarudia tena ukimwambia tena twende atakataa ila atakwambi usirudi alfajiri.
Hii ya ukweli mkuu, ila heshima baina yenu muhimu sana!
 
jaman yani mimi hapa saizi nimenuniwa ndo nimerudi nimeingia tu naye anasema usiku mwema kanuna mpaka basi wakati nilikuwa kwenye mishe mishe za kumsakia maisha wagumu hawa wanawake wa kuelewlew sana
 
Back
Top Bottom