Wanaoipenda ccm ni wale wanaopenda vitu haram watu wajinga wanaipenda ccm kwasababu hupata kanga, kofia,t-shrts haram hatahivyo inategemea na uelewa wa wapokeaji wa vitu hivyo haram kwani wengine hujikuta wamenasa nakuwapa kura... kwahiyo kuiacha ccm madarakan nikuendelea kukuza ujinga na kustawisha ufisadi.