Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Anafanana na Ritz, nduka na wengine hawa hapaanaakili za kifisadi
Anafanana na Ritz, nduka na wengine hawa hapaanaakili za kifisadi
Hapo kwenye kijani. Kuishi kimjini mjini ndo sera ya CCM na sisi watu makini hatutaki wizi. Kama ndo hivi CCM itazidi kukosa watu makini
siku zote!!!!! Masikini, unadhani watanzania wote wanaishi MJINI?????
Alisikaka kijana mmoja akisema kwenye daladala "Hivi mtu anayeipenda CCM anakuwa na Akili ya namna gani?" Akaongezea. "Umeme umepanda, gharama za maisha nazo juu, Mfumuko wa bei, Fuel, Chakula......
Mjadala huu ulionesha wazi kuwa CCM hana mtetezi kwakuwa kila mtu alielezea chakwake.
Lakini ntukirudi nyuma ni lazima tukubali kuwa CCM must GO. Hawanajipya na chi hii ni ya wa Tanzania.
Hawana jipya. Maende na wasubiri kifungo na kunyongwa kwa kulidhurumu taifa kwa kuendelea kuwachekea mafisadi.
Anayenufaika na CCM ataipenda, lakini ambae ni hohehahe halafu anaipenda CCM yani mtu huyo ni Maiti inayotembea.
Umaskini wako usisingizie CCM , jilaumu ww mwenyewe kwa kutofanya kazi za bidii na maarifa. Wengi wanao lalamika hivyo ni wale wanaopenda vitu vya bure .
inamaana kikwete anaeenda kuomba misaada nje yeye ni cdm...halafu nikupe mfano unalima kama wale wa kule kusini wanamahindi mengi lakini hawaruhusiwi kuuza wanapotaka serikali inawalazimisha wauzie serikali kwa bei ya serikali ni akili hio mtu amenunua mbolea kalima kwa trekta kapanda kapalia kavuna sasa anataka kuuza arudishe pesa yake anakataliwa kwa mtutu wa bunduki wakati huo kuna beria kibao njiani ...ushuru wa mazao ushuru wa soko ushuru wa halmashauri lakini wakati wa kulima hakuona hata afisa tu wa kilimo
waaambie bwana wenzao hapa mjini tunaishi kimjinimjini!
Mkuu Paul Kijoka,mimi ni muumini mzuri wa kushindana kwa hoja na huwa siogopi kutofautiana na mtu.Alisikaka kijana mmoja akisema kwenye daladala "Hivi mtu anayeipenda CCM anakuwa na Akili ya namna gani?" Akaongezea. "Umeme umepanda, gharama za maisha nazo juu, Mfumuko wa bei, Fuel, Chakula......
Mjadala huu ulionesha wazi kuwa CCM hana mtetezi kwakuwa kila mtu alielezea chakwake.
Lakini ntukirudi nyuma ni lazima tukubali kuwa CCM must GO. Hawanajipya na chi hii ni ya wa Tanzania.
Hawana jipya. Maende na wasubiri kifungo na kunyongwa kwa kulidhurumu taifa kwa kuendelea kuwachekea mafisadi.
Umaskini wako usisingizie CCM , jilaumu ww mwenyewe kwa kutofanya kazi za bidii na maarifa. Wengi wanao lalamika hivyo ni wale wanaopenda vitu vya bure bure
Nahisi CCM imewaloga wa TZ na kuwapumbaza. kwakuwa kila mtu anashuhudia hali mbaya ya maisha na inatia kinyaa kuona wako masikini wanaolala njaa ila wanashangilia picha za chagua jk au wanafia mikutanoni!
Naomba unitake radhi na uwambie hadharani wanaJF kuwa mimi sipendi vya bure na nimchapa kazi. Hii tabia ya kukurupuka imekuwa sera yenu CCM. Wewe mtu hunijui, unasoma article yangu unasema sifanyi kazi!!!!! Alafu Wale wanaofanya kazi kwa Taatifa yako ndo masikini vibaya na wanao sinzia bungeni au kwenye ofsi za kifisadi ndo posho ni zaidi ya laki 2 kwa siku!!!!Fanya kazi acha kupenda vya bure shauri yako
Tuna bahati mbaya sana kura hazikutosha saa hizi tungekuwa tunajenga kwa sementi ya buku tano mfuko mmoja!
Haswaa umenena mkuu.Umaskini wako usisingizie CCM , jilaumu ww mwenyewe kwa kutofanya kazi za bidii na maarifa. Wengi wanao lalamika hivyo ni wale wanaopenda vitu vya bure bure
Mpaka leo sijielewi, hivi nkitoka CCM ntakula nini, ntaishi vipi? Naona upinzani wana maono mazuri lakini njaa yangu inanibakiza CCM. Huku kwetu ukiropoka tu, ka cheo tayari, sio ndo maisha bora hayo. Mtanisanehe bure.Hao ni wanafiki tu! Wanalalama nn kwani wakati wanapokea kanga za bure, kofia za bure, vilemba, T-shirt, chumvi, sukari n.k vyote vya bure. Acheni unafiki wa kujifanya mwaichukia CCM wakati ndo chama kilichoshika hatamu kwa kuchaguliwa na haohao wanaolalamika. Shut up...! Acha CCM iendelee mbele mpaka hapo watu watakapo pata awareness juu ya nn kifanyike. CCM OYEEEEE.....!
Hao ni wanafiki tu! Wanalalama nn kwani wakati wanapokea kanga za bure, kofia za bure, vilemba, T-shirt, chumvi, sukari n.k vyote vya bure. Acheni unafiki wa kujifanya mwaichukia CCM wakati ndo chama kilichoshika hatamu kwa kuchaguliwa na haohao wanaolalamika. Shut up...! Acha CCM iendelee mbele mpaka hapo watu watakapo pata awareness juu ya nn kifanyike. CCM OYEEEEE.....!
Tabia ya kudakia hii inatuonesha jinsi ulivyouliza swali wewe hukuwa makini! Chadema iliwahi kuunda serikali lini? Tuambie mkuu?! Watanzania kwa kupenda au kulazimishwa wanahitaji uongozi mbadala. Iwe chadema au ccj au mashine au chochote ila usiwe huu UKIMWI/UKOMA CCM ambao baadala ya kuendeleza limekuwa genge la majizi.ungemjibu ivi na anayeipenda chadema anakua na akili ya aina gani?
Umaskini wako usisingizie CCM , jilaumu ww mwenyewe kwa kutofanya kazi za bidii na maarifa. Wengi wanao lalamika hivyo ni wale wanaopenda vitu vya bure .
inamaana kikwete anaeenda kuomba misaada nje yeye ni cdm...halafu nikupe mfano unalima kama wale wa kule kusini wanamahindi mengi lakini hawaruhusiwi kuuza wanapotaka serikali inawalazimisha wauzie serikali kwa bei ya serikali ni akili hio mtu amenunua mbolea kalima kwa trekta kapanda kapalia kavuna sasa anataka kuuza arudishe pesa yake anakataliwa kwa mtutu wa bunduki wakati huo kuna beria kibao njiani ...ushuru wa mazao ushuru wa soko ushuru wa halmashauri lakini wakati wa kulima hakuona hata afisa tu wa kilimo
Hiki ndo kilio cha waTZ zaidi ya 80%. Si kusini tu, ni nchi nzima. CCM na mtabdao wake wanaiba:
Mungu yupo.
- mazo yetu
- madini yetu
- pesa zetu
- ardhi yetu hasa mijini
- kodi zetu
- wanyama wetu
- wake zetu
- majumba yetu
- kura zetu
- demokrasia yetu
- utaifa wetu
- katiba yetu sheria zetu zinapindishwa
- ............... Nasikia uchungu kana kwamba najifungua vile!
Sasa wanapandisha mafuta ya taa, dezel, na petrol kisa wanamiliki Ma Oil...... com na EWURA pia.....