Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Rafiki yangu mmoja amedikoza kuwa iliwahi kujadiliwa katika JF kuwa mtu mwenye mafanikio katika maisha ni lazima awe na vitu hivi.
Nyumba,Usafiri,Account ya bank,simu ya mkononi,mke/mme,laptop,sanduku la posta na e mail
Kwamba kama unakosa kimojawapo hujafanikiwa kimaisha.
Je mnakubalina na hoja hizo.
Nyumba,Usafiri,Account ya bank,simu ya mkononi,mke/mme,laptop,sanduku la posta na e mail
Kwamba kama unakosa kimojawapo hujafanikiwa kimaisha.
Je mnakubalina na hoja hizo.