Elections 2010 Hivi mtu akipata degree za vyuo vikuu hawezi kazi nyingine mpaka aajiriwe?

mkulungwa

Member
Feb 20, 2011
12
1
Hali zenu wanajamii!!!

Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.

wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?

Mkulungwa
 
Huyu inabidi umkalishe chini umfahamishe kazi sio lazima aajiriwe,nchi yetu watu wengi wanatoka kwa kujiajiri na pia tatizo la ajira hapa nchini ni kubwa inabidi akubaliane na huo mradi uliomfungulia kwani unaweza kumtoa.
 
Huyu inabidi umkalishe chini umfahamishe kazi sio lazima aajiriwe,nchi yetu watu wengi wanatoka kwa kujiajiri na pia tatizo la ajira hapa nchini ni kubwa inabidi akubaliane na huo mradi uliomfungulia kwani unaweza kumtoa kimaisha.
 
Hali zenu wanajamii!!!

Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.

wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?

Mkulungwa

wanaambiwa tangu wadogo "soma kwa bidii uje uwe mbunge au waziri"
 
Hali zenu wanajamii!!!

Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.

wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?

Mkulungwa

Sifikirii kama huyo mdogo wako alipata 1st class kama unavyotaka tuamini hapa. Kama kweli angekuwa na hiyo first class wala usingemsikia kwa sababu kusoma kunakupanua mawazo na kukujenga ufanye nini katika maisha yao.
 
elimu zenu za kukariri hizo..eti nikimaliza niwe afisa wa benki,meneja,mkurugenzi,nyumba gari ndani ya mwaka..ndiyo matokeo yake hayo
 
Wote mliochangia hii maada hapo juu asanteni sana hili swali ni very serious na nimefurahia michango yenu, hili ni janga na huyo dogo hayuko peke yake, Nganang'wa ameanza kueleza chimbuko lake , we need to discuss this deeply.
 
Lkn first class hata u t.a pale chuo kakosa maana ajira ya haraka bongo ni ualimu tu hakuna nyingine ya haraka.

Afu ndo hvo kwamba kila mtu anataka awe david silinde(mb mbozi)
 
Hali zenu wanajamii!!!<br />
<br />
Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.<br />
<br />
wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?<br />
<br />
Mkulungwa
<br />
<br />

Anaitwa chuma ulete huo! Nenda kwa ben mwaitege ufanyiwe mamobi uachane na kina chuma ulete!

Teach one how to fish, don't give one fish every day!!!

Mlikuwa mnapa samaki kila cku kakua bado mwendele kumpa unalalamika nn?
 
Sifikirii kama huyo mdogo wako alipata 1st class kama unavyotaka tuamini hapa. Kama kweli angekuwa na hiyo first class wala usingemsikia kwa sababu kusoma kunakupanua mawazo na kukujenga ufanye nini katika maisha yao.

Nakugongea thanks kaka wewe ndo umenena
 
Hali zenu wanajamii!!!

Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.

wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?

Mkulungwa
Ukiona hivyo ujue ni wale wa madesa hao. Watu tunatafuta mitaji ya kujiajiri tunakosa wakati kuna mtu anachezea shilingi chooni? Ukiona hivyo ujue kuwa alikuwa na matarajio makubwa sana ya kukaa ndani ya mojawapo ya majengo mazuri hapa mjini. Full kipupwe na gari yake hapo kwa park. Tatizo lake ni kutokubali matokeo na kukataa kujipanga upya. Nenda nae slowly tu mtafika
 
Nikwambie kitu Mkulungwa siku zote kwenye haya maisha kuna maskini, maisha ya kati na matajiri haijalishi umesoma au hujasoma sasa basi ukiona mtu anapenda saaana kuajiriwa jua natural huyo maskini na siku akipata hiyo ajira maisha yake ni kati tuu hivyo usimlaumu sana mwambie akuangalie wewe na maisha yako then ajifunze.

<p>
Hali zenu wanajamii!!!</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mkulungwa
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Hali zenu wanajamii!!!

Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.

wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?

Mkulungwa

Kosa siyo lake,Mfumo wetu wa elimu ndo chanzo cha hili janga.
Tunasoma sana ili kupata Vyeti/Digiriiiii,na matokeo ya hizo digiriiiiiiiiii ni kuishia kuajiriwa,kwani mfumo hautupi nafasi ya kuwa self confidence kufanya kitu inje ya uliyoyasoma.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na siongelei tu uvivu wa huyu kijana.

Fikiri. Mtoto unakua wazazi wana kuambiaje? Soma upate kazi nzuri. Walimu darasani wana kuambia soma ili? Upate kazi nzuri. Tokea utotoni tuna kuwa encouraged kuja kuwa watafuta ajira na si watengeneza ajira na ndiyo maana ukiangalia Tanzania wengi wa wafanyabiashara wakubwa si wasomi wakubwa kwani wange soma sana na wao wange kuwa watu wa kutafuta ajira tu.

Ila hili tatizo si la Tanzania tu. SOmeni kitabu kinaitwa Rich Dad, Poor Dad mtajua hata Marekani wana tatizo hili. Hatufubdishwi creativity wala independence. Tusha lishwa ile tabia ya mtu kutaka kuja kuwa dokta, engineer au lawyer. Mazoea ni kama sheria.

Kwa hyo kila kitu ni mindset tu mkuu. Watanzania wengi tuna mindset ya kiutegemezi na huo ndiyo ukweli.
 
Mimi nahisi kijana anamatatizo mengine zaidi yaliyojificha. Kwasababu graduates wengi sana wanaanza/wanafanya kazi tofauti na professionals zao. Vijana wa UD Bcom wengi tu wako mitaani wanafanya biashara KKoo.

Tatizo hapo sio degree, ni studies za maisha na Malezi yanayopelekea mitazamo fulani fulani.........Kama anachembe chembe za Ushorabaro...Anaona noma kuonekana KKoo wakati wenzie wanafanya kazi kule anakofikiri ndio kuna ajira ( BOT, TRA, TPDC, EWURA) wakati kkimsingi angefanya hilo la KKoo angeweza kupaata Pesa zaidi.....MAOMBI YANAHITAJIKA......Ukimuacha aone Maisha with its true colors atatafuta vizuri hiyo ya KKoo, bt kama hana upeo ndio utampoteza kabisaaa
 
Hali zenu wanajamii!!!

Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.

wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?

Mkulungwa






Huyo anamatatizo ya ufahamu na anahitaji msaada. Mimi nia masters nimeajiriwa niko kazini mwak wa saba sasa natafuta kwa bidii sana oppoturnity ya kujiajiri siipati sipendi mno kuajiriwa nashangaa mtu mwenye kadigrii kamoja hapendi kujiajiri ana pnda kuajiriwa/ Wonderful!!!!
 
Hakuna 1st class hapo, biashara udsm? Kama ni hivyo aje udbs kufundisha
Sifikirii kama huyo mdogo wako alipata 1st class kama unavyotaka tuamini hapa. Kama kweli angekuwa na hiyo first class wala usingemsikia kwa sababu kusoma kunakupanua mawazo na kukujenga ufanye nini katika maisha yao.
 
Back
Top Bottom