Hali zenu wanajamii!!!
Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.
wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?
Mkulungwa
Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa!! nashindwa nimfanyeje yaani mvivu na sopsop tu hataki vumbi.
wadau nisaidieni mwenzenu, hivi ndivyo degree zote zinavyokuwa or ? kwanini iwe hivyo? faida ya degree sasa nini hasa first class?
Mkulungwa