kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Wadau nisaidieni kwa kuweka mtihani mwingine baada ya watoto kufaulu na kupangiwa shule ili kuendelea na masoma ya sekondari ni kufuta mtihani wa taifa? Mbona sielewe tunaenda wapi? Kwenye mfumo wa elimu yetu itafika mahali mitihani ya NECTA inafutwa na wanafunzi watakuwa wanafanyiwa interview tu kama wanavyotaka kufanya baada ya matokeo kupangwa.Inasikitisha sana serikali inatumia pesa nyingi kuandaa na kusahihisha mtihani ili hali wakijua si njia sahihi ya kupima watoto na wanajitokeza kusema eti watoto wamefaulu wakati hawawezi kusoma na kuandika.dahaaaaaaaa!!!!!!!!!!