tunafaidi kama vile kunyakuliwa kwa ardhi yetu.....kubaki na mashimo ya migodi......uharibifu wa mazingira......kuambulia vijisenti......bila kusahau kifo cha magamba 2015.
Tuna safari ndefu sana kujielewa. I mean kuelewa kama Tz ina utajiri wa kila aina na hawa wanaokuja kwa mgongo wa uwekezaji ni kujichukulia huo utajiri na kupeleka kwao kwa kuwa hatuelewi potential hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.