nyanda sila
New Member
- Sep 2, 2015
- 1
- 0
Mkuu maisha ni akili tu....kaka wala haijalishi wewe unapata mshahara kiasi gani kwa mwezi.....
Mimi nilianzisha mradi pamoja na kujibana bana...ndani ya mwaka nilikuwa na pesa nikaanza ujenzi taratibu na nimemaliza nyumba angu ya m 18...na sasa Nina Gari
Pesa sio kwamba polisi hawana pesa nooo isipokuwa tu ni namna wanavyoitumia pesa yao ntakupa jinsi nilivyofanya na sijawahi kukopa na sasa nipo UDOM...