Assume ni mpenzi ambae mmedumu katka uhusiano kwa takribani miaka mitano,lakin cha kustaajabisha from no where anaamua tu kukutamkia maneno hayo kuwa hana hisia na wewe tena,ukimuuliza kama kapata mtu mwingne anasema hana na ukimchunguza kama ana mtu unagundua kweli hana mtu.tatizo huwa ni nini na nini kifanyike ili kumrudisha katika hali yake ya kawaida,kwa maana anang'ang'ania tu kuwa marafiki wa kawaida ukimuulza sababu hana sababu ya maana ya kueleweka?ebu tusaidiane kwa ushauri na mawazo ili tuokoe huu uhusiano jamani..