Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Watanzania tunayashuhudia haya yakitokea kila kukicha. Nakumbuka maneno ya Mwalimu yaliyosema "Yawezekana sisi ni wajinga hatuwezi kuongoza lakini hata kuuliza hivi jamani mnatuongozaje?"
Leo tuna madaktari waliorudishwa kazini na mahakama. Tuna waalimu waliorudishwa kazini na mahakama. Kesho sijui mahakama itawarudishwa nani kazini labda wote tutakapoanza mgomo kupinga sheria mpya ya Mifuko ya hifadhi ya jamii.
Nashangaa kwa nini migodi haijaenda mahakamani kuzuia mgomo unaoendelea.
Yote haya yanatufanya tujiulize "Hivi mnatuongozaje?
Leo tuna madaktari waliorudishwa kazini na mahakama. Tuna waalimu waliorudishwa kazini na mahakama. Kesho sijui mahakama itawarudishwa nani kazini labda wote tutakapoanza mgomo kupinga sheria mpya ya Mifuko ya hifadhi ya jamii.
Nashangaa kwa nini migodi haijaenda mahakamani kuzuia mgomo unaoendelea.
Yote haya yanatufanya tujiulize "Hivi mnatuongozaje?