klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Nipo mkuu, nipo arumeru nasubiria ubwabwa wa bure kama ulivyomwagwa igungaBosi upo??
Nipo mkuu, nipo arumeru nasubiria ubwabwa wa bure kama ulivyomwagwa igungaBosi upo??
No comment
hehehe still no comment
baadae shem
Nimekuelewa. Hata ningekua mweupe, hapa umesha nivunja nguvuHapana kaka si ukali banaaa.
Niko honest tu na kile ninachoamini na ninachopenda. Na siwezi kuexclude vigezo vyote, sbb vigezo lazima viwepo.
Wewe yoyote anaekujia mradi umemwangalia utampendaa?
Tupo pamoja kaka. Wewe ni MWEUPEEEEE (Just a joke man)
uwongo.labda utawapata watoto wa shule.lakini kama mimi,maneno yako kama chakula kula mwenyewe.naangalia vitu vyengine kabisa
hiyo nimekutolea mfano tu. Wapo wagumu bwana, utapigisha sound hadi unazeeka na hupati kitu.
Wewe Husn acha kujibaraguza , huyo mwanamke m'bishi aloshindikana na sound za wa Vyambegu akafa na Seal yake yuwapi ?
Fazaa anamwaga sera ziko wazi , openly wala hamung'unyi alaaa !
Yaani kagonga kunako !
sound tunapigishwa ila tunawapima viwango kwanza, tunapokubali ni kwamba viwango vimetick na sio kwamba umepiga sound vizuri.
Dah! aisee nimekumbuka kitu nilipoona iyo wanaume weupe lakini acha niuchune tu nisije nikakoseshwa mchumba mpwapwa lol
shem mi na koku tunapenda mablack eeh.
Nimekuelewa. Hata ningekua mweupe, hapa umesha nivunja nguvu
Na sisi wenye sauti kama za mama zetu ndio basi tena. lol
AshaDii; Do you want to date my avatar, sasa unaonaje tuzikutanishe avtar yako na yangu uone farasi atakavyo kubeba juu juu :biggrin:
No...but, I was wondering why do you love my avatar kuliko maneno yangu, nilidhani wewe ni sanamu pia kama vile avatar yangu husiki, kumbe unasikia enheee....Super nilidhani kiziwi huta yajali maneno yangu, mana kama umeyapenda maneno yangu ndo lazima uyajali.Did i mention anything in the line of dating? lol enways if interested my avatar could be your avatar's date....:nerd:
No...but, I was wondering why do you love my avatar kuliko maneno yangu, nilidhani wewe ni sanamu pia kama vile avatar yangu husiki, kumbe unasikia enheee....Super nilidhani kiziwi huta yajali maneno yangu, mana kama umeyapenda maneno yangu ndo lazima uyajali.