Mimi navumilia, tena kwa uchungu sana kuwa mtanzania kwa sababu nchi hii imekaa kama vile inaongozwa na mapunguani wasiojua maendeleo hata kidogo. Viongozi na wote waliokabidhiwa madaraka hawaifikirii nchi ila kujifikiria wao tu. Tabia hii imefanya nchi na wananchi wake tudharaulike mbele ya dunia. Inatia aibu sana na hakuna cha kujivunia hapo.
Duh mawazo yako nayasoma nikiwa jana tu kuna Mtanzania mmoja anafanya kazi Sierra Leone, tulikuwa tunazungumza akawa anazisifia nchi za Ghana na Kenya zikiwa ndo airport alizopitia na kuiponda Dar airport ilivyo, kenya airways inapiga mzigo almost Africa nzima, sisi tunagombana kushonesha uniform za wahudumu...
GOD have mercy on TANZANIA.
Bajabiri una utani na lemutuz the big show @NY DSM hahaha ,huyu aliamua kurudi kugombea akidhani watanzania aliowaacha bado niwajinga kufika akakuta viceversa.so long time am not a tanzanian anymore,i jave no any nationality,until when i saw a stongest leadership with hard and critical decission to fire those mafisadi and inhence retun of our money at uswiss banks only that
Tz bhana ndio place la ukweli we komaa kivyako mtegemee MUNGU wako. Ila usiguse wala kuchezea mtu ambaye yupo next level juu yako ukizipata nawe unageuka mwiba kwa yule wachini yako haya ndio maisha ya mTZ. Usimlaumu fisadi ikibidi nawe pita njia zake mlesawa. Popote pale kuna njia mbili a.k.a lord(GOD) or dark Side chagua moja msilalamike sana wakat mnajua dunia inavyoenda....:-". Ni hayo tu.
Mimi binafsi bado najivunia kuwa mtz sabu bado tunarasilimali nyingi ila navumilia kwa kuwa na viongozi wetu wa hii nchi,naamini ishaallah mda c mrefu tunatapata viongozi waadilifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.