IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Naamini kuna wana JF ambao ni wataalamu wa Hali ya Hewa Jamani.Juzi nilikuwa Shinyanga yaani Joto ni Kali kuliko Maelezo na Sasa Nipo Mtwara natamani Kuhamia Baharini.
Nini Kinaendelea na Je Nchi nyingine na Mikoa Mingine hali ni hivyohivyo?
Nini Kinaendelea na Je Nchi nyingine na Mikoa Mingine hali ni hivyohivyo?