Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,025
sijajua kwanini chadema haikushiriki ule mdahalo, au ndio tuseme hawana mgombea aliyesimama kwenye lile jimbo?(ingawa walisema kuna wagombea 3 hawakushiriki-kwani walikuwa 7).kuna mzee mmoja nadhani ni wa UPDP, dah huyu mzee alikuwa ananifurahisha sana kwa comments zake..mfano alikuwa akisema "huyu shabani kissu namshangaa sana, yeye anatoa dakika 3 kuelezea sera zilizojaa kwenye kitabu''..huku akionyesha mikaratasi ya sera mkononi mwake...akasisitiza kwamba hamna cha sera wala nini,sera za vyama zote ni nzuri''.....huyu mzee comments zake ni outstanding mno.....la mwisho lililoniacha kinywa wazi, wagombea wote 7 walikuwa waislamu, na wote walikuwa wanamnadii mgombea wa urais wa CUF-PROF IBRAHIM LIPUMBA...kwenye mdahalo ule sikusikia jina la KIKWETE(iwe kwa jema au kwa uongozi mbaya)...walau yule mzee alimtaja DK SLAA kuwa ni mpambanaji....:director: