Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nimesoma magazeti ya leo asubuhi SPIKA 6 anatoa statements za kudai kuwa hatuna gharama tuliyoingia kwenye mkutano huu
Jambo hili sitaki kuliamini kwa sababu SPIKA 6 si mwadilifu yapotokea madili kama haya na hasa anapokwepo huyo bwana KASHILILAH
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola na Spika wa Bunge la Jamhuri la Tanzania Mh. Samwel Sitta (kulia) akipozi na Spika wa Bunge la India Mh. Meira Kumar (kati) na Balozi wa India nchini wakati wa hafla aliyowaandalia wabunge 800 toka mataifa 53 wanachama wa Jumuiya ya Madola katika hoteli ya Kibo Palace usiku wa kuamkia leo ikiwa ni sherehe ya kuwakaribisha wah. hao wanaohudhuria mkutano wa 55 wa chama hicho. mwakani mkutano huo unatarajiwa kufanyika Kenya
Katibu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Dk William Shija (shoto mbele) akipozi na kamati ya wabunge wanawake wa chama katika hoteli ya Arusha Corridor
Wah. wakiserebuka katika hafla ya kuwakaribisha iliyoandaliwa hoteli ya Kibo Palace usiku kuamkia leo
kikundi cha ngoma toka Endulen kikitumbuiza wageni
wafanyakazi wa ofisi za bunge wakiandaa vocha za msosi kwa wageni
baadhi ya wafanyakazi wanaofanikisha mkutano huo
MC Angela Bondo (shoto) akipata maelekezo toka kwa maafisa wa bunge wakati wa hafla ya usiku kuamkia leo hoteli ya Kibo Palace
wanafunzi wa shule ya St. Jude wakifanya rihezo chini ya usimamizi wa Mh. Samwel Sitta na wabunge wa Tanzania wa CPA
katibu wa bunge Dr. Thomas Kashillilah akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa ofisi za Chama cha Mabunge ya Jumiya ya madola
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta
Hoteli ya Arusha Corridor kunakofanyika baadhi ya vikao vya CPA
Kamati ya utendaji ya CPA katika picha ya pamoja (juu) na wakati wa kikao chao (chini)
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta akiwapokea wajumbe toka Bermuda
Wah. Wabunge wa Tanzania wanaotuwakilisha CPA katika ufunguzi wa mkutano
Chumba cha mkutano
Mh. Hubert Kim E. Swan ambaye ni kiongozi wa kambi ya upinzani katika bunge la Bermuda ni kivutio cha aina yake kwa jinsi anavyopiga pamba katika mkutano huu
Jambo hili sitaki kuliamini kwa sababu SPIKA 6 si mwadilifu yapotokea madili kama haya na hasa anapokwepo huyo bwana KASHILILAH
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola na Spika wa Bunge la Jamhuri la Tanzania Mh. Samwel Sitta (kulia) akipozi na Spika wa Bunge la India Mh. Meira Kumar (kati) na Balozi wa India nchini wakati wa hafla aliyowaandalia wabunge 800 toka mataifa 53 wanachama wa Jumuiya ya Madola katika hoteli ya Kibo Palace usiku wa kuamkia leo ikiwa ni sherehe ya kuwakaribisha wah. hao wanaohudhuria mkutano wa 55 wa chama hicho. mwakani mkutano huo unatarajiwa kufanyika Kenya
Katibu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Dk William Shija (shoto mbele) akipozi na kamati ya wabunge wanawake wa chama katika hoteli ya Arusha Corridor
Wah. wakiserebuka katika hafla ya kuwakaribisha iliyoandaliwa hoteli ya Kibo Palace usiku kuamkia leo
kikundi cha ngoma toka Endulen kikitumbuiza wageni
wafanyakazi wa ofisi za bunge wakiandaa vocha za msosi kwa wageni
baadhi ya wafanyakazi wanaofanikisha mkutano huo
MC Angela Bondo (shoto) akipata maelekezo toka kwa maafisa wa bunge wakati wa hafla ya usiku kuamkia leo hoteli ya Kibo Palace
wanafunzi wa shule ya St. Jude wakifanya rihezo chini ya usimamizi wa Mh. Samwel Sitta na wabunge wa Tanzania wa CPA
katibu wa bunge Dr. Thomas Kashillilah akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa ofisi za Chama cha Mabunge ya Jumiya ya madola
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta
Hoteli ya Arusha Corridor kunakofanyika baadhi ya vikao vya CPA
Kamati ya utendaji ya CPA katika picha ya pamoja (juu) na wakati wa kikao chao (chini)
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta akiwapokea wajumbe toka Bermuda
Wah. Wabunge wa Tanzania wanaotuwakilisha CPA katika ufunguzi wa mkutano
Chumba cha mkutano
Mh. Hubert Kim E. Swan ambaye ni kiongozi wa kambi ya upinzani katika bunge la Bermuda ni kivutio cha aina yake kwa jinsi anavyopiga pamba katika mkutano huu