Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Nimejiuliza maswali mengi kuliko majibu, kwa vile hapa JF kuna kila aina ya wanataaluma, hasa wana sayansi na wainjinia , naomba majibu ya maswali haya;
Hivi kuna nini mikocheni, kila redio itangazie kutokea hapo?
Angalia redio zenyewe ni,
-Prays power
-Clous fm
-Mlimani Redio
-TBC taifa
-Redio one nk
Zote hizi zinatangazia kutoka mikocheni, kuna nini huko?
Hivi kuna nini mikocheni, kila redio itangazie kutokea hapo?
Angalia redio zenyewe ni,
-Prays power
-Clous fm
-Mlimani Redio
-TBC taifa
-Redio one nk
Zote hizi zinatangazia kutoka mikocheni, kuna nini huko?