Wewe kama mwanachama wa CDM ikitokea Mbowe kahamia CUF au CCM utafanya nn?
So ikitioke hivyo wewe kama mwanachama utafanya nini? Just imagine
Hapo ndio unajibu swali poa basi. Maana jibu la swali kuwa swali hatutamaliza. Itakuwa swali baada ya swaliTunamsimamisha mwingine! CHADEMA ina product ya viongozi imara siyo kama chama cha magamba, hata Shibuda alipohamia CHADEMA chama kilipoteza!
tena ni null hypothesis ambapo you can only prove your idea right if you are able to refute it.Sisi wanafunzi tunaofanya Dessertation hii tunaiita ni Hypothesis.
TUMBIRI (PhD, Hull University),
tumbiri@jamiiforums.com
Hii ni dalili kuwa Shule za primary zimeshafungwa
Hivi MBOWE hawezi kuhamia chama chochote kweli?
Anaweza mbona zamani alikuwa CCM, halafu watu wa Kaskazini wengi wao sio wa kuwaamini kwenye masuala ya vyama wanapenda sana kuhama..mfano Slaa, Dk Mrema, Lamwai.
Wewe kama mwanachama wa CDM ikitokea Mbowe kahamia CUF au CCM utafanya nn?
Je akihama pekee yake vp hapo?
nahama nchi...Je shibuda akitaka kugombea urais vp hapo?