Hivi mawasiliano ya namna hii inaashiria nini...?

Sasa tunafundishana kutongoza,mimi nadhani nimeshakutana na dizaini ya mwanamke kama huyo,huyo hamaanishi kitu chochote siajabu akawa anadharau sana na anakuchukulia simple ndio maana anafanya hivyo,sasa wewe ukiona hivyo then muage alafu usipige simu kama siku tatu au nne alafu uone itakuwaje,

Papizo, mchango wako ni mzuri sana, kwa kuongezea ni kwamba hata ukikaa kimya bado anakutafuta ili muwasiliane eitha kwa ujumbe au kwa sauti! Utaendelea kumchunia?
 
huyo anataka kukujua jinsi ulivyo kupitia mazungumzo au text. Hiyo 'niambie' ni kama anashtua engine ili uendelee kuongea, azidi kukufaham na akuzoe. Wala usichukulie negative.
Wanaamini kwamba kile kimtokacho mtu kinywani mwake ndiyo moyoni mwake jinsi alivyo, ni psychology yao.

Ni kweli kabisa kuna hiyo kitu, wana mbinu nyingi za kumsoma mtu ili akujue, anaweza akakutumia ujumbe kwamba ana mazingira fulani ya yeye hawezi kufanya kitu fulani, kwa hiyo anaomba ushauri afanyeje ili kuondokana na mazingira yale? kwa mtindo ni kama anakusoma kichwani unafikiriaje.
 
katika mahusiano mwanaume si muongeaji sana kama mwanamke hivyo kama mwanamke inakubidi ujue namna ya kucheza mwanaume..mwanaume huwa muongeaji sana pale mnapotokea kugombana au kukosana...

Etieeh!

Hapo umenipa mwanga mkuu, ni kweli kabisa!
 
Kuna vitu anategemea kuvisikia na wewe huvisemi.......umpigia simu wewe then unataka yeye ndo awe leading speaker......na kama wewe ni engineer na yeye ni social worker kila ukipiga simu mambo yako ya kazini unaleta kwenye maongezi yenu......mara concrete mixer.....oonh damping level.....nilikuwa busy ku- set plates....jamaa aliyetoa B.O.Q hajaweka driller.....na mengine meengi...sasa hapo tegemea ukimya au hata kuwekewa muziki.......kama mstaarabu atakuambia fasta that hakuelewi.....watoto wa mujini ndo wanapiga kimya anakuweka loud speaker ye anaendelea na michongo yake......ukija na halooo anakupa nambieeee........ as na nyie baadhi ya wadogo zetu siku hizi hamjui kuongea basic, common and interesting topics ili naye awe active ni majigambo tuuuuu unaweza kuta
huyo jamaa anaweka


Ni kwa hisani ya mtu wa MMU na ufadhili wa JF
 
Kuna wadada wengine ukiwapigia simu,anajua kabisa unataka nini,lakini ataanza kukupa story za ofisini au shule.inaboa sana.Mi mtu wa namna hiyo,namtwanga live.
 
Kuna vitu anategemea kuvisikia na wewe huvisemi.......umpigia simu wewe then unataka yeye ndo awe leading speaker......na kama wewe ni engineer na yeye ni social worker kila ukipiga simu mambo yako ya kazini unaleta kwenye maongezi yenu......mara concrete mixer.....oonh damping level.....nilikuwa busy ku- set plates....jamaa aliyetoa B.O.Q hajaweka driller.....na mengine meengi...sasa hapo tegemea ukimya au hata kuwekewa muziki.......kama mstaarabu atakuambia fasta that hakuelewi.....watoto wa mujini ndo wanapiga kimya anakuweka loud speaker ye anaendelea na michongo yake......ukija na halooo anakupa nambieeee........ as na nyie baadhi ya wadogo zetu siku hizi hamjui kuongea basic, common and interesting topics ili naye awe active ni majigambo tuuuuu unaweza kuta
huyo jamaa anaweka


Ni kwa hisani ya mtu wa MMU na ufadhili wa JF

Majigamboo! Hahahaha!

Imekaa vizuri huu mchango wako, hapo dawa ni kupunguza kuongea naye sana, unamsalimia unatoa dondoo moja kali unamaliza mazungumzo kwisha habari yake! si ndiyo?
 
Kuna wadada wengine ukiwapigia simu,anajua kabisa unataka nini,lakini ataanza kukupa story za ofisini au shule.inaboa sana.Mi mtu wa namna hiyo,namtwanga live.

Hiyo ipo sana tu! Labda ni technic ya kubadili topic ili msizungumze kile ulichotaka kusema!
 
kama mwanamke anaanzisha mawasiliano na haongei, na mwanaume akianzisha haongei pia ,basi rudi upande mwingine ,je ktk hali ya kawaida huyu dada ni muongeaji? ana uwezo wa kuanzisha mazungumzo endelevu ( ice breaking ability)?, kama siyo muongeaji basi usimlaumu. lakini kama ni muongeaji ila anaanzisha halafu haongei , hapo kutakuwa kuna kitu anataka mwanaume mwenyewe akitamke bila ya ushawishi wa huyo mwanamke.

Kindimbajuu:

Pamoja na hayo, mdada bado anataka kuwasiliana na wewe hata kama mazungumzo yanaenda kwa mtindo huo, hata ukikaa kimya atakutafuta ili muwasiliane tu!!
 
Mtu hawezi kupiga simu bila kuwa na sababu,na uwe na issue za kumwambia,sasa we mwanaume mzima,unampigia cmu demu,aseme nini?ongea kile kilichokupigisha simu.Maana msichana anaweza asikuelewe,ukianzisha story za ajabu ajabu.Msalimie kata simu.

Kwa msichana,kuendeleza mawasiliano inaweza ikawa ndo taratibu yake kusalimiana na watu.akikuambia niambie,sema poa.kazi kwisha.

Hapa inaonyesha kwamba umeweka in mind that may be mdada huyo anataka umtongoze.

Mdada au mkaka yoyote anayeanzisha mawasiliano,anajua ni nini anachotaka sema.

Kama ni mawasiliano ya wapenz,basi haina haja ya kusikilizia huyu atasemaje,kila mtu awe active kwenye kuongea.

Kama ni ndugu,rafik,au jiran tu,msalimie,kata simu.Siyo kuanza kusikiliziana,mbona huyu haongei?au mbona hivi.hapo mtashangaa mnaongelea mpaka stor za vikatuni.kwa sababu hakuna jipya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom