Wakuu
hii habari ilikuja mwaka jana pia na akahojiwa kwenye radio akakanusha, sasa aliyeileta sijui ndio anasikia ya zamani, au ni mpya imetoka leo
LAst time the boy was in Tanga na tozi mmoja naona amejikita kwenye ushororo na laptop mpaka mziki unamshinda
anazidi kulegeza mwili na sauti tu[/QUOTE]
kaka Acid Tafadhali bwana, hapo kwenye nyekundu pana leta hofu mkuu, inamaana anaelekea siko?
Taarifa zinazosambaa mitaani Dar ni kuwa amekamatwa na unga
Ingawa sometimes inategemea na kiasi alichokamatwa nacho.
hahaaaaa haaaa haaaaa kama si tandika, basi itakuwa pemba tehe tehe tehe !!!!!!
Mkuu Wachina hawana kiasi...the moment wamekushika na unga wanachinja tu, ni hivi juzi tu raia wanaodaiwa kuwa wa Uganda zaidi ya 10 wamepewa hukumu za kifo, kwa makosa hayo hayo, na serikali ya Uganda inahangaika kuwapapatuwa ila wachina ndo kwanza wananoa majambia..shauriyake Matonya kama hizi allegetions ni za kweli ndiyo anamkosa Anita hivyo!
Yaani mtu akiamua kumtumikia shetani huwa kama kipofu na kiziwi. Wewe unaona wenzako wamekamatwa na hukumu ndo hiyo ya kifo bado tu mtu anaendelea na hiyo biashara ya kishetani. Lol!
Mkuu mi kila nikiona avatar yako nakuwa sina amani hata maneno ya kukwambia nachaguwa...unatisha mkuu, unakaa Temeke nini?
hahaaaaa haaaa haaaaa kama si tandika, basi itakuwa pemba tehe tehe tehe !!!!!!
Au kwenu kwa wachuna ngozi tehe tehe tehe!!!!!!
Mbona sijakuelewa??
Au kwenu kwa wachuna ngozi tehe tehe tehe!!!!!!
Wana jf, huyu kijana alivumaga sana kwa mziki wake wa bongo fleva kwa jina la MATONYA yupo wapi kwa sasa, mana yupo kimya sana?
hata akiwa dar, hana mpya zaid ya kutubania pua tu..yupo masomoni east africa hii hii.