Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Yaani mi sijui nanzie wapi maana nimepita katika haya makanisa mapya, tena mengi ni yale yaliyopanga kwenye chumba cha 12x12. Nusu ya chumba kinamezwa na spika. Basi wakianza utasikia tokaaaaaaaaaaaaaaaaa tokaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwachie mtu huyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu shindwaaaaaaaaaaaaaaaaa. Basi sauti imefunguliwa mpaka mwisho. Najiuliza MAPEPO YANAOGOPA SANA SAUTI ZA MAKELELE? Ama kuna siri gani hapa?