Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Utakuta mtu anakubali kuwa mpenz wako,anakujibu kuwa anakupenda,mwingine anakuambia mwenyewe kuwa anakupenda.
but kuna wakati ukifika unaona live penzi linayeyuka na baadaye linapotea kabisa.
Know that hapo hata hamjasalitiana au kukoseana.but baadaye unakuta mapenzi yanaisha,yanayeyuka na kupotea kabisa.
kwa hiyo kuna msimu wa mapenzi???
but kuna wakati ukifika unaona live penzi linayeyuka na baadaye linapotea kabisa.
Know that hapo hata hamjasalitiana au kukoseana.but baadaye unakuta mapenzi yanaisha,yanayeyuka na kupotea kabisa.
kwa hiyo kuna msimu wa mapenzi???