Hivi mapenzi sometimes ni uchizi?

kuna mshikaji alikuwa anamuacha wife ndani anaruka ukuta na kichupi tu anaenda kumega mtoto wa jirani
 
Jamani, kisa hiki nimekisikia around saa sita/saba kwenye radio Clouds, kwenye kipindi fulani na kiko hivi ....

Kuna jamaa ana mke na anaishi nyumba ya kupanga mahali fulani. Kumbe ktk nyumba hiyo hiyo kuna mpangaji mmoja wa kike ambaye jamaa kamgeuza ndo nyumba ndogo. So inasemakana kuwa jamaa alikuwa anatoroka mara kwa mara na kwenda kukutana na mpenziwe bafuni bila mkewe kujuwa.

Za mwizi arobaini, siku kadhaa zilizopita, jamaa aliaga usiku kuwa anaingia bafuni alipofika huko alikaa kwa muda kidogo ikabidi mkewe atoke kufuatilia. Alipotoka alimuona mumewe anatoka huko bafuni, na kabla hata hawajaingia ndani, yule mpangaji wa kike mwingine naye akatoka bafuni, ndipo mkewe akagundua kuwa kumbe alikuwa anaibiwa na jirani yake.

Sasa najiuliza, hivi mapenzi ni uchizi? Hivi mtu anawezaje kumtoroka usiku mkewe na kwenda kwa jirani kwa nini asimalizie mambo yake kwa mkewe? Maana naona vituko vya haya mambo vimezidi! Wenzangu mna comments gani juu ya hili tukio? :nerd:

Wenu,

HorsePower

kumbe umesikiliza radio CLOUDS
 
Hapo ujue ya mkewe si rahisi kuipata. Unajua mke mnaweza kuwa mnalala kitanda kimoja, lakini atmosphere imechafuka. Mara nyingi atmosphere ikichafuka kati yako na mke, hiyo kitu hupati asilani!

Hii ni bomu la maangamizi walilo nalo wanawake dhidi ya wanaume. Sasa bomu la maangamizi likisharushwa, marehemu na/au majeruhi lazima watokee; na mme wa hivyo lazima ni muathirika wa bomu la maangamizi la mke.

Siyo kwamba anafurahia kitu huko bafuni, ila ndo njia ya kutokea tu. Huko ndani kwake kinachoendelea siri yake. Labda wanawake watakapoacha kutumia silaha ya kunyimana ndo mambo kama haya yataisha!
 
"I have loved to the point of Madness,
That which is called madness,
That which to me is the only sensible way to Love" – F. Sagan.
 
"I have loved to the point of Madness,
That which is called madness,
That which to me is the only sensible way to Love" – F. Sagan.

Asha Dii, if this is the case, kwa nini alikubali kuoa mke asiyempenda? Assuming kwamba kuna migogoro ya kumfanya afikie maamuzi hayo, kwa nini asifanye maamuzi magumu sasa? Kwa nini aendelee na maisha ya mateso hivi? Kukutana chooni au bafuni? loh!
 
"There is always some sort of MADNESS IN LOVE but there is also some REASON IN MADNESS" [Friedrich Nietzsche - Philosopher]
 
hivi mnadhani pilau huwa haichoshi ukila kila siku, siku nyengine inabidi ubadilishe utafute japo ugali kwa papa.
 
Back
Top Bottom