walitakiwa wawe sita!
unasemaje? wasiitwe hivyo.....sometime somethings just happen
Jibu lako linaweka hadharani taswira ya jina lako!
Unashangaa na "Humu humu" wewe! Sema hujui Humu humu iko wapi, kwani ulitegemea kutakuwa na maeneo kama Mchambawima, Uzini, Tunduni, nk. Punguza povu mkuu!hivyo ndo walivyomaanisha,kwani wewe location yako humu humu,kuna sehemu inaitwa humu humu,punguza complication