Inauma sana mkuu, yaani enzi zile ukikuwa na atlas tu basi warembo wote darasani wanakuona ban ki moon
hiyo hapo kwa dawa tamu
nawaza mimi!
Inauma sana mkuu, yaani enzi zile ukikuwa na atlas tu basi warembo wote darasani wanakuona ban ki moon
yatakushinda wee mwanaume lol, baridi likizidi chukua kaa la moto ujikande
afu unawakusanya, mnaanza kucheza ile ya kuambiana tafuta mji wa Kamashika.
Anayepata anawaambia kutafuta.
Wasichana walikuwa wanaupenda.
Kipindi hicho atlas na kompasi ilikuwa anasa.
Inabidi wengine tuwe na makompazi ya mafuta ya yolanda lol
hahahahaaaa....hapa lazma nicheke tena sana...ala!yolanda asee...
kompaz langu lilikua na noti...nilikuwa nawanasa kina KABY wa enzi hizo...
unazipanga chini ya kompasi
afu kila saa unazihesabu
break ya saa nne ikifika
unakuwa Tycoon . . .
Inauma sana mkuu, yaani enzi zile ukikuwa na atlas tu basi warembo wote darasani wanakuona ban ki moon