Eeh!
Kuweni makini, usikute wana vitambulisho vya kupigia kura hao!!!! Manake hakuna ajuaye jk alipigiwa kura na nani!!!
Wapi watoto walikatazwa? Mbona mbunge wa Mbeya mjini ni mtoto
Wapi watoto walikatazwa? Mbona mbunge wa Mbeya mjini ni mtoto
Kamuulize mwalimu wako definition ya mtoto. Ukishapata jibu jiulize kama Mbunge wa Mbeya Mjini ni mtoto au kijana
ha ha ha ha! masikini hapo utakuta ni watoto wa shule ya msingi wamelazimishwa na walimu wakuu(ambaye analinda kibarua chake na ufisadi wake) na kuwadanganyia juisi na mavazi mkuu.Mkuu unashangaa nape kupokelewa na WATOTO?akubaliki kwa WAKUBWA!!!!!!!!!!!!!na watoto nilaisi kuwarubuni,ukinunua mifuko kadhaa ya pipi umemaliza kazi, hata JOSEPH KON wa Uganda alianza ivyo ivyo