Huyu mama ana misimamo sana ambayo kwa wanaume huwa inakuwa vigumu sana kukubaliana nayo, sasa naomba mnijuze ana mume au amewahi kuolewa?
Hata kama hana mume huwezi kumfananisha na ANNA MAKINDA
unamtaka?
yule hana akili za magamba
hivi ana makinda nae vipi??
Kile kichwa sio kizima
Amtoe wapi?
Kile kichwa sio kizima
OTIS
Huyu Mama ana mume na watoto. Nyumbani kwake mume na mke ni wakarimu sana nimeshawatembelea mara nyingi
Huyu mama ana misimamo sana ambayo kwa wanaume huwa inakuwa vigumu sana kukubaliana nayo, sasa naomba mnijuze ana mume au amewahi kuolewa?