Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Ni kweli kabisa. Huwa hachangii topic za wengine -- kazi yake kubwa ni kusokomeza, au tuseme kuzi-force zake tu humu JF.
MS hawezi kabisa kuchangia za wengine kwani hana ile capacity ya constructive, sophisticated argument -- na hii bila shaka ni kutokana na elimu ya mpakazo tu -- au hakuna kabisa. Naweza kumlinganisha na wengi katika umati uliokuwapo katika ukumbi wa Kizota -- kule Dom! Hawa wanachojua kuimba ni kitu moja -- JK, basi -- akili imeganda hapo hapo tu. Constructive arguments = NIL!