Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Wana JF, nilimsikiliza mwenyekiti wa TLP, I was realy fed up!!! Jamaa nadhani amepukutika upstairs. Hivi anaweza kuwa ndiye Malaria sugu humu jamvini nini? Hivi akiingia bungeni kupitia (anakodai alitumwa na Mwl. nyerere) jimbo la Vunjo si tutakuwa tumepata hasara sana?