Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema kuwa angekuwa na uwezo wa kutoa discipline kwa makatibu wakuu na mawaziri basi angefanya hivyo ila alitaka kuwasiliana na JK ambaye alikuwa hewani (flying) kuelekea South Africa. Leo kwenye gazeti la Mwananchi, 20/07/2011 amesema amekwisha ongea na Jk na kupewa maelekezo ya namna ya kushughulikia suala hilo la bajeti ya nishati na madini kukataliwa.
Kama makamu wa Rais yupo nchini iweje Pinda amtafute JK tu wakati katiba inasema 47 (1) (a) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi?
Kama makamu wa Rais yupo nchini iweje Pinda amtafute JK tu wakati katiba inasema 47 (1) (a) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi?