Mungu apushie mbali, lkn nifumanie kwa macho yangu halafu nisamehe!???
Loh! Neva, apo ndo its over.
Kufumania inauma sana. sasa umegundua na ukamfukuza forever.... watt utawafanyaje kama umezaa nae. Na wanawake wachache sana wasiocheat. Tunaishi nao kama ustaarabu wa maisha tu