ni ile ya mbezi mwisho hata kwa kukojoa hamna.napata wasiwasi na umakini wa waziri.!
Na je hicho kituo kiko umbali gani toka center of the road, umbali uliopo unaruhusu upanuzi wa barabara?
ni ile ya mbezi mwisho hata kwa kukojoa hamna.napata wasiwasi na umakini wa waziri.!
Kigamboni waliambiwa piga mbizi, na nyie acheni ujinga, Cheueni nyumbani kwenu kabla hamjatoka
Jamaa anapenda sana sifa za kijinga. Wajanja washamjulia, wanampigia humo humo!ni ile ya mbezi mwisho hata kwa kukojoa hamna.napata wasiwasi na umakini wa waziri.!
duh! mwanzisha thread napata wasiwasi na umakini wako wa kufuatilia habari...do ur h/work plz
ni ile ya mbezi mwisho hata kwa kukojoa hamna.napata wasiwasi na umakini wa waziri.!
Nionyeshe choo kilichopo stendi za POSTA,AKIBA,K'KOO,BOMA,MANZESE,SHEKILANGO,SINZA(kwaremi,mori,madukani etc)MAKUMBUSHO,KAWE,PALM BEACH, ETC..... ! LETENI VITU VYA MSINGI VYA KUJADILI.....! INGEKUWA STENDI YA MIKOANI HAPO SAWA!
Machawa awamu zote hamkosi, kumbe mmeanza kitambo!Kwan umeambiwa stand ndo sehemu ya kufutua?