mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Hakuna ubishi kuwa waziri mkuu aliyebwaga manyanga kutokana na kashfa ya Richmond Edward Lowassa atakwenda Arumeru mashariki kupiga kampeni. Je atakwenda kule kumpigia kampeni mkwewe au chama? Kama ni chama ni kwa sifa gani na tuhuma zote hizo? Je atatumia sifa ya kuwa mmeru anayejiita mmasai au vijisenti? Je atakipigia chama kampeni kwa lipi wakati kimeishapanga kumwengua?