EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
- Thread starter
- #101
Dah sa hao ng'ombe watakaa wapi na kule wanataka wale wa kichina tu na si huku tuna wale wa asili? Kighorofa haina tabu na hata kahawa tutalima sana tu ntakupandia na mti wa mwembe ili usiwe unaenda kuiba kwenye mti uleeeeee.......Hhhm . . . kununua jina la ukoo ng'ombe 20, kuwa ndugu kabisa jiandae kujenga kaghorofa( uwe na sehemu ya kulala ukija nyumbani), ununue kapick up (ya kulishia mifugo yako na shughuli za shamba). Shamba utapewa kakiamba kule Kirisha. . . . lolz. . . kwahiyo we kazi ni kuandaa pesa ya vibarua na dawa za kahawa tu.