Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Jamani hivi hawa wanajeshi, polisi na idara ya usalama wa taifa ni lini madai yao ya mishahara hayatalipika? Au ya kwao yanalipika? Au ni yale maduka ya furniture bei cheee, electronics bei chee, building materials bei chee, beer bei poa, kwenye daladala hakuna kulipa nauli?
JK, ukitaka wafanyakazi wa serikali wasigome basi fanya kama kwa hawa JWTZ, Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa, au ulainishe maisha ya watanzania kwa kushusha gharama ya maisha, mfano, inflation iwe 1.5%, na thamani ya shilingi iwe 500/ kwa USD moja. Hivi wakati unasema 'maisha bora kwa kila mtanzania' hukujua kama unawaambia waalimu na madaktari kuwa mishahara itakuwa minono na sehemu za kazi zitakuwa super?!
JK, ukitaka wafanyakazi wa serikali wasigome basi fanya kama kwa hawa JWTZ, Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa, au ulainishe maisha ya watanzania kwa kushusha gharama ya maisha, mfano, inflation iwe 1.5%, na thamani ya shilingi iwe 500/ kwa USD moja. Hivi wakati unasema 'maisha bora kwa kila mtanzania' hukujua kama unawaambia waalimu na madaktari kuwa mishahara itakuwa minono na sehemu za kazi zitakuwa super?!