Hivi kweli walikuwepo . . . ??

Zamani wanawake wengi walikuwa wanakaa home tu, kazi ni moja kutafuta nazi na karanga ulisahau mikoa mingine hakuna nazi, baasi hapo shughuli ni moja tu. sasa hivi kila mtu akirudi home anakoromea upande wake ndio tatizo kakangu

Mi naona utamaduni wa kimagharibi upande wa kustawisha mapenzi na kuyadumisha ni ovyo kabisa.
Kizuri naona ni kuhamasisha kupunguza unyanyasaji kwa wanawake ktk jamii za kiafrika.
Tofauti na hapo, mengine yote ni ZERO KABISA
 
Mi naona utamaduni wa kimagharibi upande wa kustawisha mapenzi na kuyadumisha ni ovyo kabisa.
Kizuri naona ni kuhamasisha kupunguza unyanyasaji kwa wanawake ktk jamii za kiafrika.
Tofauti na hapo, mengine yote ni ZERO KABISA
yaani nikikaa na kufikiria naona hawa watoto wetu sijui watakuwa na maisha gani na wake/waume zao. maana sasa hivi hajulikani mume nani na mke nani, mambo shagala bagala
 
  • Thanks
Reactions: CPU
yaani nikikaa na kufikiria naona hawa watoto wetu sijui watakuwa na maisha gani na wake/waume zao. maana sasa hivi hajulikani mume nani na mke nani, mambo shagala bagala

Aliyekuoa ana raha sana . . .
 
Maji yananukia harufu tamu haina mfano, anaanza kwa kukalishwa kwa namna ambayo sehemu za kati zinatulia kwenye kisos, zinaanza kukandwa taratibu na maji ya nazi yenye machicha yake, kisha zinapakwa mafuta ya nazi.

Halafu aanza kuogeshwa mwili, kusuguliwa asuguliwa kwa machicha hayo hayo ya nazi (sio dodoki), akitoka hapo afukizwa uturi na kufungwa khanga, kazi yake ni kupumzika chumbani na kwenda sebuleni kula tu.
Ikawa hivyo siku ya kwanza, ya pili na hatimaye ya tatu akasalimisha mtaji wote wa n’gombe na kuikana familia yake (jamani hapa siwasemi wale ndugu zangu wanaosifika kwa ufugaji n’gombe . . . . . haha aha ha ha)


Kwa kweli walisifika mno kwa mapenzi motomoto na kutunza ndoa zao, waliimudu hiyo fani kisawa sawa. Hii ni simulizi fupi ya sehemu ya ufundi na utaalamu wa mapenzi ambayo nimehadithiwa na kaka yangu mkubwa.


Saa hizi nikiwa kama kijana siyaoni hayo, napata wakati mgumu kuamini kama ni kweli ilikuwa hivyo kipindi cha nyuma . . . . kulikoni????

Huwaoni coz imekua vice versa, zamani katika kabila fulani fulani alifundwa hivyo binti kabla ya kwenda kwake kwa kozi c chini ya miezi sita mana alikuwa hana kazi ya ziada zaidi ya hiyo. Lakini sasa saizi hizo kozi zimeachwa na wanaozisomea ni wale ambao hawana nia ya kufunga fungate.
 
Huwaoni coz imekua vice versa, zamani katika kabila fulani fulani alifundwa hivyo binti kabla ya kwenda kwake kwa kozi c chini ya miezi sita mana alikuwa hana kazi ya ziada zaidi ya hiyo. Lakini sasa saizi hizo kozi zimeachwa na wanaozisomea ni wale ambao hawana nia ya kufunga fungate.

Kuna ambaye unamfahamu amepata hii kozi na bado yupi singo??
 
Bahati mbaya ninaowafaham wameolewa or underage lkn uskate tamaa, kazana kutafta utampata hiyo design..

Itakuwa rahisi wewe kuwapata kuliko mimi coz wewe ni jinsia yako na unakaa na kuongea nao mara nyingi, kwahiyo nitafutie
 
Back to topic...inawezekana mambo ya kubebana mgongoni na kuogeshana kwa nazi yamepungua au hamna kabisa ila zipo njia mbadala ambazo ni starehe na kiburudisho tosha!Sio lazima tufanye ya miaka ya zamani...twende na wakati!
 
Back to topic...inawezekana mambo ya kubebana mgongoni na kuogeshana kwa nazi yamepungua au hamna kabisa ila zipo njia mbadala ambazo ni starehe na kiburudisho tosha!Sio lazima tufanye ya miaka ya zamani...twende na wakati!

Yaani upunguze au uondoe kabisa vionjo vya kiafrika kwenye mapenzi halafu uweke vya kizungu ambavyo umesomea kwenye mitandao na darasani ndo tunaita KWENDA NA WAKATI??? Bora nikaoe kijijini . . . .
Natural love is fresh, sweeter and safer than artificial love
 
Back
Top Bottom