mambo? jaman hivi kweli nafasi za uhakimu zimetoka? nmeskia kwa daladala watu wanaongea ila nimetafuta kwenye magazet sijaona, je ni kwel zimetoka na gazeti gan labla limetoa?
mambo? jaman hivi kweli nafasi za uhakimu zimetoka? nmeskia kwa daladala watu wanaongea ila nimetafuta kwenye magazet sijaona, je ni kwel zimetoka na gazeti gan labla limetoa?
Hazijatoka mdogowangu,na hazitatoka soon,maybe kwenye mwezi wa tano huko. Iamini habari hii. Mimi nimeifuatilia jikoni kwa Mhusika moja kwa moja,nilikuwa huko jana
usinambie majaji na mahakimu wote wa tanzania ni migomba orginal walisharogwa siku nyingi kumbe, dah ngoja nikasome ushonaji labla sitarogwa, huku haka kaLLB kangu kumbe kataniua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.