Hivi Kweli MZEE MWANAKIJIJI UPO KWELI????????

Kama gari linakwenda MBELE au kurudi NYUMA, lina ABIRIA au la MIZIGO, kodi yake tutaweza vipi kuipanga kwa magari yote, kwa vipindi vyote kwa miaka 49 ijayo? Wazo lako ni zuri lakini gari lenye matairi SITA au NANE au lenye matairi MANNE haliwezi kutozwa kodi sawasawa. Itakuwaje kwa wapandao pikipiki au baskeli na hasa wenye kubeba abiria? niambie hapa hapa ili niweze kufikiria jinsi ya kushiriki KATIKA MPANGO WA KUKUSANYA KODI.
 
Kama gari linakwenda MBELE au kurudi NYUMA, lina ABIRIA au la MIZIGO, kodi yake tutaweza vipi kuipanga kwa magari yote, kwa vipindi vyote kwa miaka 49 ijayo? Wazo lako ni zuri lakini gari lenye matairi SITA au NANE au lenye matairi MANNE haliwezi kutozwa kodi sawasawa. Itakuwaje kwa wapandao pikipiki au baskeli na hasa wenye kubeba abiria? niambie hapa hapa ili niweze kufikiria jinsi ya kushiriki KATIKA MPANGO WA KUKUSANYA KODI.

Hahahaha...kweli Waharabu wa Pemba mnajuana kwa vilemba, pamoja na Mzee Mwanakijiji kujaribu kutufungua macho tuelewe, mie bado sijaona kichwa kiko wapi na mkia ndio upi ili angalau tupate hata pa kushika achilia mbali kuchangia. Mzee Mwanakijiji mnaongelea nini? Kukusanya kodi wapi na hayo magari ya wapi? Alafu ili iwe nini? Na je ukusanyaji wa sasa una tatizo gani? Kwamba kodi ya magari haifiki sehemu husika? Au mnataka muanzishe TANROADS yenu kivuli ku-challenge iliyopo? Mambo ya vivuli haya? Sasahivi tutasikia Shule za Kata Vivuli kwa mtindo huu???!!!
 
Elfu 75 kwa siku umeitoa wapi? Kwa vigezo vipi? Wewe jamaa nahisi kweli umetahiniwa IV mwaka jana, kwa biashara gani ukusanye hiyo kodi? .....hebu ondokeni humu ndani na madudu yenu mnatupotezea muda na sijui hiyo ni NGONJERA au nini?
 
Na hayo maKAMA, KAMA yenu, kila kitu kama, kweli? Mnaota ndoto gani? Nasema tokeni...peaneni namba za simu mtumiane sms au nendeni FB mkajadili mkipata huyo mpangokazi wenu wa KAMA-KAMA ndio mlete hapa tuwakague...Ovyooooooooooooo
 
Kama gari linakwenda MBELE au kurudi NYUMA, lina ABIRIA au la MIZIGO, kodi yake tutaweza vipi kuipanga kwa magari yote, kwa vipindi vyote kwa miaka 49 ijayo? Wazo lako ni zuri lakini gari lenye matairi SITA au NANE au lenye matairi MANNE haliwezi kutozwa kodi sawasawa. Itakuwaje kwa wapandao pikipiki au baskeli na hasa wenye kubeba abiria? niambie hapa hapa ili niweze kufikiria jinsi ya kushiriki KATIKA MPANGO WA KUKUSANYA KODI.

Mh, kumbe nimegundua mnaelewana manake niko nje kabisa mie bado!
 
kama gari linakwenda mbele au kurudi nyuma, lina abiria au la mizigo, kodi yake tutaweza vipi kuipanga kwa magari yote, kwa vipindi vyote kwa miaka 49 ijayo? Wazo lako ni zuri lakini gari lenye matairi sita au nane au lenye matairi manne haliwezi kutozwa kodi sawasawa. Itakuwaje kwa wapandao pikipiki au baskeli na hasa wenye kubeba abiria? niambie hapa hapa ili niweze kufikiria jinsi ya kushiriki katika mpango wa kukusanya kodi.

duhkazikwelikweli
 
Hapa hawa wakuu wameelewana, me bado sijawapata licha ya kupitia mara mbilimbili post zao.
 
kwa maisha haya na hiyo kodi....itabidi nistop wazo langu la kununua gari kama mambo yeynyewe ndo haya
 
Inaitaji mtu uwe elimu ya falisafa ya hali ya juu, otherwise you end with nothing.
 
Back
Top Bottom